Apo jiandae kisaikolojia kila coner maan hzo mara nying sio professional ndo maan qualifications zake kuna hadi watu wa agriculture, education ko inabdi ubase kweny duties and responsibilities the inabdi uielewe vizuri hyo taasisi kiundani zaidi kule hamna connection ukisoma vizuri mbn unatoboa...
Wakuu mm Nina malengo ya kuanza ufugaji wa kuku aina ya broiler Kwa mkoa wa dodoma,,, naomba mwenye abc kuhusu hii biashara Kwa upande wa dodoma ipoje msaada plz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.