Recent content by Mashine1908

  1. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nateseka na punyeto sijui nitaiacha vipi

    Chaputa nayo ni ujenzi huru hivo epuka kabla jehanam haijakuita.Jehanam ni pale tu free off charge.Utakua ni mfuu chini japo unatembea .Pia kufanya kabla hujajua madhara sio dhambi ,dhambi ni pale unapo ambiwa ina madhara pull na hautaki kuacha.ipo siku utaamini kwa nini ni .
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke wa kufunga naye pingu za maisha nimechoka kuishi mwenyewe

    Natafuta mwanamke wa kufunga naye pingu za maisha kwa ndoa halali kutoka kanisani, mimi ni mwanaume niliekamili. Mke nimtakaye awe ana mapenzi ya kweli, elimu kuanzia la saba na kuendelea awe na 18-30 miaka. Elimu yangu ni chuo kikuu, nimeajiriwa. Kwa alie serious naomba ani pm
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mwanamke wa kuzaa naye Mtoto nitamtimizia mahitaji yote ya msingi anayo paswa kutimiziwa

    Jina langu ni Gasper umri wangu ni miaka 33, natafuta mwanamke wa kuzaa naye mtoto ,nitamtunza na kumtimizia mahitaji ya yote ya msingi anayo pata mwanamke.Umri wake uanzie miaka 27 nakuendela.atayekua tyr ani pm ili tuyajenge.sipaswi kukosolewa kwan kila mtu anahaki ya kufanya kitu ambacho...
Back
Top Bottom