Recent content by MASHANJARA

  1. M

    Barua ya wazi kwa Mrisho Gambo, ufisadi wako tunautambua

    Rais angeunda tu tume ya uchunguzi dhidi ya upigaji na mali walizonazo kina Gambo, Makonda na Sabaya pamoja na kutumia madaraka vibaya.... Ungeshangaa. Lakini ndio hivyo tena nchi ya upigaji na laana!
  2. M

    Sasa tunaweza kukubaliana kuwa; aina ya siasa anayoifanya Rais Samia ni ya kiwango cha juu sana ambapo ni nadra sana kuiona Afrika

    Ukiacha kovu lake rais SSH (na wana ccm wote waliochaguliwa) lililotokana na wizi wa uchaguzi wa mwaka 2020 uliowaingiza madarakani, ameonyesha siasa nzuri bado inawezekana Tanzania. Anakwenda polepole na wapinzani, anawaachia wafungwa walioonewa, anafuta kesi zisizo maslahi kwa Taifa, kwenda...
  3. M

    Ni wakati wa kuwa na CDF Mwanamke baada ya kustaafu Venance Mabeyo

    Yuko mnadhimu wa JWTZ aliyeteuliwa na Amiri Jeshi Mkuu Samia Suluhu Hassan mwaka jana, Lt. Gen Methew, huyo NDIE!
  4. M

    DOKEZO Responded Kwanini Rais Samia hajawahi kumjulia hali Mzee Lowassa?

    WEWE UNAISHI NCHI GANI? MBONA RAIS ALISHAENDA MPAKA NYUMBANI KWAKE MWAKA JANA KUMJULIA HALI? KWENYE SIASA ZA CCM , UPINZANI NA TANZANIA HUWEZI KUMWACHA LOWASSA NJE. AWE NYUMBANI, HOSPITALINI AU OFISINI. MUNGU AMPE NAFUU MZEE LOWASSA.
  5. M

    Zitto awajibu Maria na Mshaba akiwahusisha na 'Udini'

    Kuuza wanyama hai hilo halikubaliki. Hata kama muuzaji ni mimi au wewe halikubaliki. Zitto ni kiongozi dhaifu, hilo linajulikana. Wa aina yake wanatumiwa na yoyote kwa maslahi ya wanaomtuma. Ndio historia yake. Fufueni TAWICO or equivalent ili anaetaka kununua na kula nyama pori aruhusiwe...
  6. M

    Tundu Lissu: Rais Samia amenilipa stahiki zangu nilizonyimwa na Magufuli

    Mungu akulinde Rais Samia Suluhu Hassan. Unaitambua haki, kweli na ukweli mtupu na kuufanyia kazi kwa kadiri mazingira yanavyokuruhusu. Kama Mwanasiasa, Tanzania itakukumbuka. Kuna watu wanasema Waislam waliopata madaraka makubwa Tanzania walionyesha roho nyoofu kuliko Wakristo. Tunalipingaje...
  7. M

    Mrisho Gambo ni Kirusi hatari anayetafuna viongozi Arusha

    Gambo anajulikana kihistoria kama kiongozi mpenda majungu, mpiga dili, mtumia madaraka kwa faida yake, mfujaji wa pesa za umma, msaka michango kwa watu binafsi kwa nguvu na vitisho akiwa kavaa koti la Regional Commissioner, afadhali sasa Mbunge pekee aliyekuwa katarajia uwaziri wa utalii. Tangu...
  8. M

    John Mnyika: Mambo CHADEMA tuliyozungumza na wenzetu wa CCM

    Hongera Chadema, hongera Mnyika John John. Agenda zenu zimeshiba. Hata msipofanikisha zote, huo ni mwanzo mzuri.Muhimu mmedhihirisha kwamba nyie ni chama kikuu cha upinzani Tanzania na mnajitambua. Mmeweka mitego vizuri politically. Hiyo ndio siasa hai. Tanzania kwanza. Kila wakati. Hongera sana...
  9. M

    Mnyika: Wanachadema watapewa mrejesho, malalamiko yao kuhusu maridhiano tumeyasikia

    Brilliant Mnyika. You addressed it all. Kuweni na imani na viongozi wenu makini, wapeni nguvu ya kusonga mbele. Mwisho wa siku ni AMANI ya Taifa letu.
  10. M

    Nape Nnauye: Anaachwaje kichaa mmoja hivi anasema ‘Mama hatukuelewi’?

    Tusimpe Rais wetu majina yasiyostahili. Tumpe heshima yake ni kiongozi wetu wa nchi kwa wakati wake. Pia waziri Nape sio lazima kumweka mkuu wa nchi ukutani ili hatimaye tuseme lolote jema au baya. Jaribuni kujibu hoja kwa hoja. Pale ambapo wanadhani hawaelewi ni haki yao kusema. Ni kazi yako...
  11. M

    IKULU, Dar: Rais Samia na Freeman Mbowe wakutana na kufanya mazungumzo leo Mei 9, 2022

    Jambo la afya kwa mshikamano wa Taifa letu. Hongera rais kwa kufuata utengemano na amani ya nchi. Hili linakupa heshima wewe zaidi kuliko hao wageni wako toka upinzani. Wanavyozidi kuonekana ikulu kila wakati ndio na umaarufu wako unapanda na wao kushuka kisiasa.
  12. M

    Tetesi: Aibu bandari ya Tanga shehena ya clinker inayoelekea Rwanda imekwama

    Kama ni kweli, matatizo mengine siyo ya lazima. Bandari ni uti wa mgongo katika uchumi wa Tanzania. Kaimu Rais ingilia kati pls
Back
Top Bottom