Kwa kuwa vitambulisho vya mjasiriamalia mdogo vilitolewa na Mh.Rais,na sasa vimekwisha muda wake,je tunasubiri tena Mh.Rais atoe vingine?
Mamlaka zinazohusika tunaomba majibu tunasumbuliwa na TRA.
1.Kitambulisho cha mjasiliamali hakifanyi kazi tena?
2.Mbona hawajatoa vingine kwa mwaka 2020?
3.Tabora tunakamatwa tulipie Lesseni kuna maelekezo yoyote toka mamlaka husika?
4.Tunashindwa kufanya biashara zetu,kwani Afisa biashara wilaya na maafisa watendaji wa Kata wanaendesha zoezi la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.