Kitambulisho cha mjasiriamali mdogo na kamata kamata ya wajasiriamali TABORA ni agizo?

Mashahili

New Member
Apr 9, 2020
2
1
1.Kitambulisho cha mjasiliamali hakifanyi kazi tena?
2.Mbona hawajatoa vingine kwa mwaka 2020?
3.Tabora tunakamatwa tulipie Lesseni kuna maelekezo yoyote toka mamlaka husika?
4.Tunashindwa kufanya biashara zetu,kwani Afisa biashara wilaya na maafisa watendaji wa Kata wanaendesha zoezi la kukamata na kufunga biashara zetu.mfano mimi ni fundi cherehani na ninacherehani moja tu naambiwa lesseni Tsh.62,000. tunahitaji tamko.
 
Hii pesa ya vitambulisho ni kodi. Je ipo audited au sababu vinatengenezwa chini ya Rais hakuna wa kuhoji hizi pesa zinakwenda wapi?
 
Wenye mitaji mikubwa wakachukue tu leseni isije kuwa kama wamachinga wa Kariakoo wanao tandika mzigo chini wa milioni ishirini na kulipa 20,000/= tu kwa mwaka.
What a mess?
 
Back
Top Bottom