Kwema wana JF nawasalimia wote!
Niende moja Kwa moja kwenye mada, huu uzi nimeamua kuuleta ili kuwaonyesha ni jinsi gani mapenz ya urozi yalivyotaka kunisababishia uchizi au kuniondoa uhai kabisa.
Well! Ilikuwa mwaka 2016 chuoni mkoa x, nilikuwa mwaka wa kwanza mwaka huo.
Chuoni hapo...
Vijana vyuoni hii inaweza kuwa funzo kubwa sana kwenu, lakini pia hata raia wengine kuna cha kujifunza hapa.
Ni stori ya kweli ni mkusanyiko wa visa vilivotaka kuchukua uhai kama siyo akili yangu.
Nianzie mwaka 2017 nilipojiunga na chuo kikuu maarufu sana hapa nchini. First year semester ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.