Recent content by masenyi20

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi "Sugu" na Emmanuel Masonga waachiwa huru baada ya kutumikia kifungo

    kufungwa ni kufungwa ndugu na jela si nzur mchunguze leo utaona mabadiliko makubwa
  2. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Hatimae Yametimia, Hakuna Mafuta ya kupikia

    si uje huko mikoani unang'ang'ania dar kwani sisi bado kilo ya mchele 1,550/=
  3. M

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli azindua barabara ya Iringa - Migoli Fufu km 189

    elimu inaitaji sana kwa swala hili kwani kuzindua kiwanda maanake nini?dah watanzania saa nyingine tunajiabisha sn kuzindua kiwanda sikwamba hakifanyi kazi ata kama kinamiaka kumi kinaweza kuzinduliwa kwani kuna kiongoz alikwishakizindua?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli azindua barabara ya Iringa - Migoli Fufu km 189

    na wala yeye ajasema kwamba zimejengwa wakati wake mbona mara nyingi utoa shukran kwa rais aliyepita ata yeye ipo.miradi kaanzisha lakini.ataondoka kabla.ajakamilika na atakuja zindua.mwingine ndo mfumo wa dunia nzima
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mkutano wa CHADEMA na waandishi wa habari: Serikali hii inajitangaza kukusanya kodi lakini CAG kaweka wazi ni uongo

    ktk kitu nimeona cha ajabu ni hii ripoti ya CAG kila.mtu ana.lake
  6. M

    JamiiForums Tanzania Toner cartridge and inkjet refills 60% discount

    wino wa.xelox upo mkuu?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Lema hakuwepo uwanja wa Sheikh Amri Abeid kuwasilisha matatizo yanayoikabili Arusha?

    lakini kwa takwimu kimapato ni ya tatu sasa kutoka ilipokuwa ya pili kwani baada ya dar ni mwanza jua ilo
  8. M

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli uzinduzi wa magari ungemuachia Waziri wa Afya, si hadhi yako

    hadhi yake ni ipi?
  9. M

    JamiiForums Tanzania CCM ina ubavu wa kumwondoa Rais madarakani kama ANC ya Afrika Kusini ilichomfanyia Zuma?

    na chadema wanaubavu wakumuondoa mwenyekiti?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Yanayojiri Uchaguzi mdogo Singida,Longido na Songea Mjini

    kama icho cha ndege ni uchumi yule bwana alivyodai ananunua ndege mlipinga watanzania hakuna zur
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kenya imenusurika kunyimwa pesa za misaada kutoka Marekani, Tanzania yakalia kuti kavu...

    misaada ni sifa mada zingine za.kipuuzi mtu akikwambia ufanye mapenzi na mama yako nikupe msaada usipofanya naye mapenzi upati msaada na wewe unaona ni busara kulala na mama yako upewe msaada ujinga nikushabikia vitu ata kama avina maana
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kamati kuu CHADEMA yawaagiza wabunge wajitoe kwenye timu ya bunge michezo ya EALA

    dah chadema inakuwaje.maazimio ya kitoto.hivi jamani?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Milton Mahanga: Naomba niweke wazi, nilikuwa sitaki lakini mmezidi CCM. Acheni kunirubuni kwa fedha nirudi chama chenu

    kwani wanakuitaji unaushawishi mkubwa sn ktk jamii?ah ah ah ntawashangaa ccm kama na wewe wanakufata
  14. M

    JamiiForums Tanzania TAARIFA! NUNUA-NUNUA YA WANACHAMA WA CHADEMA SASA RASMI SHINYANGA:

    acheni.majungu kama ni kweli wananunuliwa awajafika kwako.tu nani ataki pesa na hasa nyakati hizi vyuma vimekaza mnaandika ili wawafate tulieni
  15. M

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Kinondoni, Maulid Mtulia(CUF) ajivua uanachama na ubunge na kuhamia CCM

    kuna tatizo na kama awatafanya jitihada za haraka watamalizika
Back
Top Bottom