Recent content by masengere

  1. M

    Mbunge mstaafu, Abdul Mteketa alia mtandaoni akiomba msaada wa matibabu kutoka kwa Rais Magufuli

    Anamwomba rais pesa zetu. Hatuna pesa tulishaziweka kwenye budget tunatekeleza budget. Labda anamwomba pesa toka mshahara wake.
  2. M

    CCM inatawala si kwa nguvu ya Rais Rais Magufuli bali misingi yake ni imara sana

    Ccm haishi uchaguzi hata mara moja. Kama sio polisi ccm ni wepesi kama kanga.
  3. M

    Kwako Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Ndugu Mnyeti

    Hivi Mnyete tukiwa wote ccm tatizo la maji hapa Bahati litakuwa limekwisha. Mbona mnafikiri vibaya ndugu zangu.
  4. M

    Kwako Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Ndugu Mnyeti

    Atakapomaliza kukataa ushirikiano na chadema kitakachofuata ni kukataa ushirikiano na waizrael. Watoto wadogo wasijua historia ya amani yetu, undugu wetu. Wanafikiri kuwa ccm basi shida za watanzania zimekwisha.
  5. M

    Cyprian Musiba: Rais hataki miaka 7 ila sisi tunataka, Bunge lifanye mabadiliko ya Katiba

    Kuna watu wamevimbiwa huku wengine hawana chakula. Tatizo Msiba hajui kuwa watanzania wenyeu uwezo wa kumzidi Mh Magufuli wapo, tatizo nafasi hiyo ni moja. Waliopita wangekuwa walafi kama Msiba Mh Magufuli angepatikanaje. Acha uvivu wa kufikiri.
  6. M

    Mbunge wa CCM, Musukuma kumtukana mbunge wa CHADEMA (Lema) ni sawa?

    Ukitaka kumtendea mtu haki angalia uwezo wa anaetenda kama ni mdogo sana unamsamehe (Msukuma) huo ndio uwezo wake. Msamehe bure wajinga duniani wapo wengi.
  7. M

    Huwezi Kumtukana Mkuu wa Nchi alafu ushangiliwe

    Mpuuzii kweli kweli.
  8. M

    Kihotel/mgahawa kinahitajika haraka katavi

    Kipo kibanda kipo stendi ya mabasi tuwasiliane 0757387887
  9. M

    Kubenea: CCM ilitenga billion 5 kwa ajili ya ununuzi wa wabunge na madiwani

    Wakiweka ushahidi utakataliwa na pccb. Kwahiyo Hakuna haja.
  10. M

    TRA kumchunguza Askofu Kakobe baada ya kumsikia akisema ana hela kuliko Serikali

    Kakobe anahela kwasababu anao waumini walio matajiri, wakati,na hata wa hali ya Chini akitaka fedha hata wewe wa tra unapeleka
  11. M

    Ushauri wa mwisho kwa CHADEMA: Wafukuzeni Lowassa, Sumaye na wafuasi wao. Itumieni nafasi hiyo kurudi kwenye mstari!

    Ni wajinga tu wanaomfukuza mchezaji mahiri. Na wewe unawaza kumshauri mtu mbona mambo yako mengi yamekushinda Ni Lowassa na Sumaye wameyazuia???
Back
Top Bottom