Atakapomaliza kukataa ushirikiano na chadema kitakachofuata ni kukataa ushirikiano na waizrael. Watoto wadogo wasijua historia ya amani yetu, undugu wetu. Wanafikiri kuwa ccm basi shida za watanzania zimekwisha.
Kuna watu wamevimbiwa huku wengine hawana chakula. Tatizo Msiba hajui kuwa watanzania wenyeu uwezo wa kumzidi Mh Magufuli wapo, tatizo nafasi hiyo ni moja. Waliopita wangekuwa walafi kama Msiba Mh Magufuli angepatikanaje. Acha uvivu wa kufikiri.
Ukitaka kumtendea mtu haki angalia uwezo wa anaetenda kama ni mdogo sana unamsamehe (Msukuma) huo ndio uwezo wake. Msamehe bure wajinga duniani wapo wengi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.