Kiukweli nashangaa sana viongozi na roho zetu binadamu hivi kwann mtu akifanikifanikiwa anasahau maisha ya wenzake hata kama amesota nae au nao?
Ndg zangu hivi serikali inafikiliaaje walimu walioko mtaani waliomaliza vyuo naona kama wanaona ni watu ambao hawatambuliki na serikali kabisa. Just...
unasema hivi sababu una kazi nikuulize swali kwanini wastaaf wengi wakitoka makazini wanafail life usiache kazi et unataka kujiajiri utapigwa virungu vya maisha mpaka unaona unachotaka kujiari haukionii wewe acha maneno ya vijiweni piga kazi mpk uzee wako mkuu
Na nature ya ubinadamu hakuna kazi...
unajibu lakin utakuwa umetumia mihemko sana bila kuja na hoja mkuuu,, swali ni kwamba interview ya nurse mnaongea tu ndani ya dk tano unasema huyu nimepata muuguzi bora mkienda kupewa dawa za kichwa mkapewa za kifafa ndo mtaelewa usaili ulikuwa hauna maana yyte kwa hizi kada mbili
usaili wa...
yes formative assement et unamfanyia mwalimu na watu wa afya unasema unataka watu bora tuko serious kwelii??? au ndo kutaka taifa liwe la kitapelitapeli tu?? sababu kinachofata hapo ni rushwa na sio kufanya usaili
unaweza kuwa na hoja ila hoja yako ikalenga kama ukanamizajii mtu kasoma miaka minne au mitatu chuo afu waliomfundisha uliwaamini na kuwapa mandatory ya kumtarain huyo mtu leo hii utamkashifu vip mtu kuwa vyeti vyake havitoshi wakati wew ndo uliajiri watu wa kumtrain?? bora ungesema hivi...
Kwangu mimi sio kitu cha ulazima sababu kwa mwalimu usaili wake sio wa mtu na mtu ila ni mwalimu mwenye na mwanafunzi wake je unazani watakaomfanyia mwalimu wa GEOGRAPHY au CHEMISTRY watakuwa watu wa professional wa ilo somo au hayo masomo? kama jibu ni ndio basi serikali inatumia gharama nyingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.