Recent content by masanjuo

  1. masanjuo

    Mama yangu ni mtu wa mikopo sana. Baada ya kufariki baba, hali imekuwa mbaya zaidi

    Ndomn nmekuj kulilia uku nikiklilia kwa jirani si atanicheka kesho nakunisimulia
  2. masanjuo

    Mama yangu ni mtu wa mikopo sana. Baada ya kufariki baba, hali imekuwa mbaya zaidi

    Amenitafuta nimenweleza kasema atalipa anafanya vibarua apate ela alipe ayupo tayar nyumba kuuzwa nikamwambia mm sina chakusema pambana na mm sina ela unajua hsli yangu
  3. masanjuo

    Mama yangu ni mtu wa mikopo sana. Baada ya kufariki baba, hali imekuwa mbaya zaidi

    Ningekuwa na uwezo nisingekuj kulalamik uku jingejua tu chance yakupata fedha ipo ila ndo ivyo ...naningelipa it's ningewahaidi kulipa sta kidogo kidogo
  4. masanjuo

    Mama yangu ni mtu wa mikopo sana. Baada ya kufariki baba, hali imekuwa mbaya zaidi

    Duh sina kazi mkuu kwann nijifiche mm nibinti napamban nikipt kazi pia nafanya
  5. masanjuo

    Mama yangu ni mtu wa mikopo sana. Baada ya kufariki baba, hali imekuwa mbaya zaidi

    Sina uwezo wa kulipa nmemwachia mungu sasa nmwaambia wafsnye chochte wanachoweza
  6. masanjuo

    Mama yangu ni mtu wa mikopo sana. Baada ya kufariki baba, hali imekuwa mbaya zaidi

    Ata uyu mama alikuwa uku mjini pi alikopa ndo kakimbilia kijijin naiyo nyumba utaishi vip bila kuhangaika kutafuta riziki
  7. masanjuo

    Mama yangu ni mtu wa mikopo sana. Baada ya kufariki baba, hali imekuwa mbaya zaidi

    Yeye sindoatakufa maan nyumbn kakimbia anaishi mashambani uko anakula nn sasa anaish vip kupata magonjwa ya moyo
  8. masanjuo

    Mama yangu ni mtu wa mikopo sana. Baada ya kufariki baba, hali imekuwa mbaya zaidi

    Shida roho inaniuma sana naona kama atapata presha atafariki nachanganyikiwa mm
  9. masanjuo

    Mama yangu ni mtu wa mikopo sana. Baada ya kufariki baba, hali imekuwa mbaya zaidi

    Inahuzunisha sana mama angu sijui anashida gani ananiweka kundi gani binti yake roho inaniuma saana
  10. masanjuo

    Mama yangu ni mtu wa mikopo sana. Baada ya kufariki baba, hali imekuwa mbaya zaidi

    Icho chakuuza kufika milioni ndo sina namimi binti najitafuta mamilioni kuyalipa siwezi labda Namimi niingie kwenye mikopo
  11. masanjuo

    Mama yangu ni mtu wa mikopo sana. Baada ya kufariki baba, hali imekuwa mbaya zaidi

    Wanajamii, sijui nianze na kulia... Natamani nipige ukunga watu wanisikie, wajue mpaka ndani mwangu navyoumia. Natamani nipate wa kumweleza huu uchungu wangu ninavyojisikia kwa sasa, lakini watanicheka. Sina dada, sina kaka, sina mdogo — nimezaliwa peke yangu. Story ni hii... Mama yangu ni mtu...
  12. masanjuo

    Vijana Wawili kwa ajili ya Kazi ya Ulinzi Dar

    Kha apa kwakufa gafla apa doh
Back
Top Bottom