Recent content by Masanga

  1. M

    Dr. Tulia achukua fomu ya kugombea Unaibu Spika CCM

    Tatizo elimu elimu elimu kujibu hoja si kazi YA naibu spika
  2. M

    Viti Maalum: BAWACHA Ruvuma wampa siku tatu Mbowe kubatilisha uteuzi wa Zubeda Sakuru kutoka Tanga

    Wangoni wanafiki sn mkoa mzima haujawahi Kutoa mbunge toka upinzan ina haja gani kuwapa mbunge viti maalimu Wakati walimchagua Gama akidai ni ndugu Yao na mzawa wakimtosa Fueme kuwa c mzawa wa Songea
  3. M

    Je, Kukubalika kwa Lowassa ni kielelezo cha kuzikwa kwa hoja ya rushwa na ufisadi?

    Mimi c amini Kuwa Lowasa anakubalika na Jamii YA kitanzania ukweli ni pesa inatumika kumpamba yeye tunapata shida sn kama hatutakuwa makini ktk kumpata rais bora ubadilikeni jamani na tuwe na fikra pevu za kulijenga Taifa
  4. M

    Tuombe Mdahalo kati ya Zitto na Mbowe ili tuweze kujua nani Mkweli

    Aaa wap... Act kwenyewe aliyatuma majembe yake Dk kitila na mwigamba kwenda kumwandalia mazingila ili akitoka rasmi chadema aende act kama mwenye kit.. Mbinu zile zile walzokuwa wkizitumia kuujumu chadema ndizo walikuwa wakizitumia act... Na mwenyekit wa Chama hicho bwana limbu kashaenda...
  5. M

    Tuombe Mdahalo kati ya Zitto na Mbowe ili tuweze kujua nani Mkweli

    Zzt namfananisha na jino la nyuma Katka meno yngu hata lik toka siangaiki kutafuta jino la bandia..... Kwa siasa za bongo zzto bay bay kisiasa..... Mimi ni mmoja Kat YA wale walio sababishwa na zzto kuipenda chadema. Lakin kwa mikakati yke ya kukimaliza chama. Aaaaa aaaaa nimeubwa na msimamo...
  6. M

    Tuombe Mdahalo kati ya Zitto na Mbowe ili tuweze kujua nani Mkweli

    mweupe zito.. Anayejua katiba ya chama hailuhusu kwenda mahakami kwa kes kma ile.. Lakin kutokana na weupe wke kichwan akashindwa kujua nin afanye....... Wkat talatbu zko waz ndan ya katba
  7. M

    Hivi ndivyo rais mstaafu Mwinyi anavyomzungumzia Makamba

    Hana lolote mtupu sn hawezi Kuwa kiongozi
  8. M

    Kikwete na Lowassa kunani tena?

    Hii ilikuwa Jana Arusha ktk kuwa commission maafisa wa JWTZ wapya
  9. M

    BAKWATA itakufa CCM ikiondoka madarakani

    Sasa hapo Umevuka mipaka Mbona yenu imeanzishwa kibiashara hatusemi nataman nichukue kichwa
  10. M

    Nelson R. Mandela: Hakuna damu yake iliyomwagwa na Makaburu, tofauti na wapinzani wa TZ wa leo

    ww hujasoma vizur kitabu cha Mandela "long walk to freedom" acha kutudanganya mandela na wenzake saba walipata shida sn ktika hatakati za kudai majority kutoka kwa makaburu
  11. M

    Mkutano Wa ACT Mwanza kesho

    inashangaza wapinzan leo wanaogopana wao kwa wao inaonyesha jinc hawa jamaa wa act ni wazur ndio maana wanaogopwa na cdm na kuanza vijembe
  12. M

    Taarifa za Zitto na Dr. Kitila kwa Umma Juu ya Kuvuliwa Nafasi za Uongozi ndani ya CHADEMA

    bora umesema ya moyon na msimamo wako ndani chama tupo pamoja ktk kuhakikisha chama hakipotei katk diramya siasa
  13. M

    Sheikh Ponda ajeruhiwa vibaya baada ya kupigwa Risasi mjini Morogoro

    habar ni ya kwel kama kawaida jeshi la polisi limeendeleza wembe wa kuuwa raia
Back
Top Bottom