Recent content by Masalapyetwe

  1. Masalapyetwe

    Dr. Slaa: Nikiwa Rais nitamtia Magufuli ndani kwa kuuza nyumba za Serikali

    Hatima ya nchi niwewe kuhama kama hukubaliani na Rais Dr. John Joseph Pombe Magufulu a.k.a Bulldozer (Tingatinga)
  2. Masalapyetwe

    Dr. Slaa: Nikiwa Rais nitamtia Magufuli ndani kwa kuuza nyumba za Serikali

    Anatapatapa sana. Nani atampa urais Slaa?
  3. Masalapyetwe

    Hivi wasomi wa watendaji wa CCM hawakujua kabisa haya wakati wanauza nyumba za Serikali?

    Cheap politics. Sindano imewaingia kwelikweli. Club Biricanas Lazima kieleweke
  4. Masalapyetwe

    Mafao ya wabunge ni kufuru, Kila mmoja kupata Tsh. milioni 230

    Atakayepinga Chadema ataitwa msaliti. Kumbuka ZZK alijengwa mizengwe baada ya kukataa na kupinga sitting allowance bungeni.
  5. Masalapyetwe

    Zitto: Ulidanganya Geita wanakuhitaji, leo umekiona cha moto

    Kweli nimeamini kwamba "You have a dream" it is better you start dreaming before the night goes far. Huyu jamaa aliyetajwa na MAWAZO siyo mtu au hoja unayotaka tujadili ni ipi? Anyaway sometime dreams can become true, therefore you can sleep so that tomorrow will tell us what was the meaning of...
  6. Masalapyetwe

    Zitto: Ulidanganya Geita wanakuhitaji, leo umekiona cha moto

    Si bure Mawazo lazima utakuwa na upungufu wa fikra, unajua ulikotoka mpaka kufika Geita? Tunashukuru kwamba tumeanza kukufahamu uvivu wako wa kufikiri ulipo. Hukumbuki kilichokufanya kuzunguka kwenye vyama mbalimbali na mwisho wale jamaa waliokutuma kuja kulinda masirahi yao hapa Geita...
  7. Masalapyetwe

    Maono ya Mbowe miaka 10 iliyopita!

    Mkuu wewe ni noma, Swali limejibiwa kitafiti zaidi. Hongera kwa jibu lako ambalo ndo jibu sahihi
  8. Masalapyetwe

    CCM wameanza kuihujumu Serikali ya UKAWA!

    Utalia sana mwaka huu, kama umeanza kulia mapema hivi ngoja ifike siku ya matokeo story zitakuwa zilezile za kila mwaka za tumeibiwa kura.
  9. Masalapyetwe

    ACT-Wazalendo mwisho wake 30/06/2015

    Kuna kiboko yao ZZK. Unakumbuka jamaa alimwambia mwenyekiti wa CDM kwamba nanukuu, Ni aibu akili kubwa kuongozwa na akili ndogo.
  10. Masalapyetwe

    ACT-Wazalendo mwisho wake 30/06/2015

    Umevurugwa si bure.
  11. Masalapyetwe

    Maneno ya Zitto kufuatia vurugu za kwenye Mikutano

    Msukule ni wewe ambaye unatumia mawazo ya mwingine ku comment. Hii JF sasa hivi imekuwa na watu wa ajabu sana. Reasoning capacity yako inanitia mashaka kweli
  12. Masalapyetwe

    Maneno ya Zitto kufuatia vurugu za kwenye Mikutano

    Kati yako na ZZK nani Msaliti? Ngoja kijana apige kazi. wewe umesaliti akili yako ndo maana unaropoka tu.
  13. Masalapyetwe

    Kigoma sio ndondocha

    haya sasa matusi, zile dharau zenu na chama chenu ndo mnaanza kututafuta tena? Tuacheni watu wa Kigoma tufanye mabadiliko
  14. Masalapyetwe

    Kigoma sio ndondocha

    Dada uko vizuri sana, umenigusa na hayo maneno yako machache. Big up sana. Watu wengine wanaleta thread ambazo ni za kumlazimisha mtu kuendelea kuwa mtumwa wa kikundi Fulani ambacho kimeanza kupoteza mvuto.
Back
Top Bottom