mkapa aliuza benki ya nbc kwa bei ya kutupa,akauza nyumba za serikali leo anatutukana watz ni pumbavu na malofa!!! ama kweli mtu akishiba husahau kama kuna njaa
Viongozi wa ccm,mnaongelea mapinduzi baada miaka 50!!!! Watanzania wanataka maendeleo,waambieni mmewafanyia nini baada ya miaka 50 ya uhai wa nchi hii,mmepigana vipi na umaskini,ujinga na maradhi.
lowasa angekuwa ccm butiku angeweza kusema hayo!!!! wazee wanafiki kweli hawa kundi hili liliivuruga ccm kweli kweli kikwete akiwa sehem ya kundi hilo hawakusema,leo lowasa kaondoka ndio wanajifanya kusema siunafiki huo.
wanamtandao wamekuwepo mapema kabla ya uchaguzi wa 2000 na wakashika hatamu 2005 hadi kumzidi nguvu mwenyekiti wa chama wakati huo mkapa akapindisha kanuni kumfavour kikwete kupita kwenye mchakato wa raisi na badae kuwa rais. Mzee salim ahmed salim analikumbuka hilo vizuri maana alikuwa mhanga...
Nina hasira sana na serikali ya chama hiki cha mafisadi jamani! Sijapata kuona nchi yenye viongozi wenyewe uwezo mdogo wa kuona mambo km serikali hii. Hivi wanapofanya hivi wao huangalia lichama lao tu! Internet tunatumia kwa mambo mengi not kwa matumizi ya kupashana habari za kuyaondoa majizi...
Tanzania ni nchi nzuri ambayo watu wake huwa wananung'unikia vyumbani haki na usawa unapovunjwa na kugandamizwa na wanaojiita watawala hivyo sitashangaa kuona yale yote yanayoendelea nchini yakipita tena kirahisi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.