Recent content by masagwa

  1. masagwa

    Malisa na Mikopo ya Elimu ya Juu

    Roho mbaya...hakuna anayekataa kulipa...rudi nyuma fuatilia kwa nini watu wanalalamika na bichwa lako kubwa
  2. masagwa

    Malisa na Mikopo ya Elimu ya Juu

    Amini usiamini wstu wenye mawazo kama yako mara nyingi wakizeeka hugeuka kuwa washirikina
  3. masagwa

    Malisa na Mikopo ya Elimu ya Juu

    Asante mkuu
  4. masagwa

    Malisa na Mikopo ya Elimu ya Juu

    Amini usiamini watu wengi wenye mawazo na fikra kama za kwako wakizeeka wanageuka kuwa washirikina
  5. masagwa

    Malisa na Mikopo ya Elimu ya Juu

    Watu wengi wenye mawazo kama yako mara nyingi wakizeeka wanageuka kuwa washirikina
  6. masagwa

    HESLB Mikopo kuunganishwa na NIDA, TIN, Passport na kadi za benki

    Wewe uko nje ya mada....kinacholalamikiwa na wengi ni namna bodi ya mikopo inavyokata mishahara ya watu bila utaratibu.... Nakupa mfano: wapo watu nawajua walipelekwa nje ya nchi Urusi, China, India, Algeria, Ukraine etc na serikali mwaka 2005....na wengi waliambiwa ile ilikuwa ni...
  7. masagwa

    HESLB Mikopo kuunganishwa na NIDA, TIN, Passport na kadi za benki

    Yes, nakubaliana na wewe...haina haja ya kuwalipa kwa hiari mpaka pale watakapoacha tabia za ubabaishaji na udhalimu..... imagine mtu alisoma chuo kuanzia 2004 mpaka 2008 kwa mfano...kipindi hicho sheria ya 6% VRF na hii 15% ya marejesho zilikuwa hazijatungwa...leo bodi ya mkopo wanaitumia...
  8. masagwa

    HESLB Mikopo kuunganishwa na NIDA, TIN, Passport na kadi za benki

    Mimi nakwambia sijapata kuona watu wa ajabu kama bodi ya mikopo...wapo watu wengi wamenufaika na pesa za bodi ya mikopo lakini hawalipi kwa sababu bodi hawana taarifa sahihi kuwakamata...hivyo bodi wanachofanya ni kuwabambikia madeni ya uongo wale wachache waliojitokeza kulipa kwa hiari
  9. masagwa

    Baada ya Mwl. Mussa Iddy kulalamika, HESLB yatoa ufafanuzi kuhusu utaratibu wa urejeshaji mikopo

    Majibu ya bodi kwa bwana Iddy ni siasa tu. Bodi ya mikopo ina matatizo makubwa sana. Tatizo lao kubwa ni kughushi taarifa za madeni na kuwabambikia watu...yaani kwa ufupi hawana taarifa sahihi na hawataki kuekeweshwa. Naamini kuna siku mh raisi Magufuli ataangazia huko na kutuokoa watanzania
  10. masagwa

    Bodi ya Mikopo (HESLB) tunaomba kujua kuna ubaya gani retation fee kwa wadaiwa ikasemehewa?

    Ndugu zangu mimi nimekuwa napambana sana na bodi ya mikopo. Tatizo lao hawana taarifa sahihi kuhusu nani anadaiwa na anadaiwa kiasi gani...wameendelea kutegemea taarifa za kughushi kuwaumiza watanzania na madeni ya ajabu. Kwa ufupi tutafute pesa ili watoto wetu tuwanusuru na hili zimi linaitwa...
  11. masagwa

    Changamoto ya mikopo ya HELSB

    Pole sana ndg Iddy... Bodi ya mikopo yaani HESLB mimi naamini ni chombo kimeundwa kuwadidimiza watanzania kwenye lindi la umasikini. . Mimi binafsi nilienda bodi ya mikopo kuomba kujua nadaiwa kiasi gani wakasema jumla wananidai shilingi milioni 60. . Nilipambana nao sana zaidi ya miaka 2 bila...
  12. masagwa

    Majibu ya Bodi ya Mikopo Kuhusu Barua ya Wazi kwa Magufuli: Sheria ya Bodi ya Mikopo ya 2016

    unataka kusemaje sasa? kama haikuhusu we pita pembeni tuachie sisi tunaoumizwa na hili. Wapo watu wenye akili timamu watakuja hapa tudiscuss nini kifanyike....
  13. masagwa

    Majibu ya Bodi ya Mikopo Kuhusu Barua ya Wazi kwa Magufuli: Sheria ya Bodi ya Mikopo ya 2016

    Wadau hili suala liliishia wapi? Maana mimi nafanya kazi serikalini nakatwa 15% of my gross salary ila kinachonisikitisha wapo jamaa zangu wengi sana nilisoma nao darasa moja wameajiriwa private companies mpaka leo hawalipi hata cent moja......niliwahi kusema bodi ya mikopo ni waonevu wakubwa...
  14. masagwa

    Deni la Helsb linapaswa lipande kuendana na ada za wakati huu.. sio lipande kwa kiwango kikubwa

    hili la bodi ya mikopo ni janga la kitaifa....watu wamehangaika sana sana sana baada ya kupewa madeni makubwa na ya kutisha...si serikali wala bodi wote wapo kimya labda watazinduka siku wakisikia mtu amejinyonga baada ya kudaiwa deni kubwa kuliko uhalisia.
Back
Top Bottom