NINGUMU JAMAA KUWA RAIS.
Yeyote aliyekataliwa duniani na mbinguni amekataliwa. Natulimkataa huyu jamaa na hatimaye alijiuzuru nafasi kubwa hata mbinguni alikataliwa. Leo amesahau nini kwa wa Tanzania?
Ukweli unauma sana ndugu zangu watanzania mpaka leo Nchi tunalipa Deni la Richmond kwa ajili...
MAZITO YAVUJA KIKAO CHA WENYEVITI WA MIKOA CCM,BARUA YA KINANA YAKOSOLEWA.
Katika kikao cha wenyeviti wote wa CCM wa mikoa kilichofanyika katika ofisi ndogo za Lumumba jijijin Dar es Salaam jana tar.24. Wenyeviti hao wakiwa katika kikao chao kilichokuwa kinajadili mambo mbalimbali ya chama na...
MAZITO YAVUJA KIKAO CHA WENYEVITI WA MIKOA CCM,BARUA YA KINANA YAKOSOLEWA.
Katika kikao cha wenyeviti wote wa CCM wa mikoa kilichofanyika katika ofisi ndogo za Lumumba jijijin Dar es Salaam jana tar.24. Wenyeviti hao wakiwa katika kikao chao kilichokuwa kinajadili mambo mbalimbali ya chama na...
Chama cha Mapinduzi Mwaka huu kitamteua
Kada mmoja Mwenye sifa zinazojitosheleza
kuwakilisha Chama hicho kwenye Uchaguzi
Mkuu mwaka huu October, Ili kupambana na
Vyama vingine vya Siasa.
Katika hali ya vuguvugu la kujitangaza Lowassa
na Pinda wameonyesha nia, mmoja katangaza
hadharani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.