Recent content by Maryrose

  1. M

    Someone to hang out with

    VP mlienda?Feedback?
  2. M

    Anayehitaji mwenzi kutoka pande za majuu

    Chaka hili sasa,nani asiyejua Economic crisis imehit vibaya US na Europe huko,hata kazi za kubeba mabox sasa hv ni issue.Wengi wanaotoka Majuu,hawana issue,Wengi wao wana vicertificate tena vinahitaji kuthibitishwa na TCU,yale mambo ya kukimbilia USA miaka ile ya 90.Mtu anarudi sasa na begi la...
  3. M

    Kwa hili nitawachukia wanawake milele. Na sitowasamehe.

    Pole Sana aisee.Inauma sana I know ila kuwa makini na hy bastola aisee,maana unaweza kuishia kuitumia ndivyo sivyo ukaozea jela.Yangu machache: 1.Wakati Mkeo anacheat ulikua wapi?Mwanamke hata siku moja hawezi kucheat bila sababu na mara nyingi wanaume ndio mnatupa sababu.You sound like among...
  4. M

    wanawake

    Hebu mwambie,then anajisifu ana kadgree kamoja,hata hako kadarasa kamoja hakajamsaidia,Mwanaume wa ukweli hajisifii ujinga kama huo,you must be ashamed of urself.
  5. M

    wanawake

    Honestly,You are so disgusting!
  6. M

    wanawake

    Hicho kishahada chako kimoja kisikuvimbishe kichwa dogo,rudi shule,watu wana masters mbilimbili na wana hekima kibao,hwaandiki utumbo kama wako katika social forums.Issue ya wazazi wako kuwa nawafanya kazi sio ya kututangazia,tafuta vya kwako.
  7. M

    So lonely,help please

    Christine una akili we mdada
  8. M

    wanawake

    Umri wako mdogo so bado hujayaona mengi duniani,huna experience ya kutosha to tell u the truth ndo maana hujui na wala huamini kuna kaka zako huwa tunawalipia lunch na dinner pale wanapojifanya ATM imesahaulika.Na kaka zako wengine wanalelewa,yes,wanaishi na kutunzwa na wanawake,wao kazi moja tu.
  9. M

    wanawake

    Tatizo huyu ni dogo wa 1985 so ngoja akue ataacha nimemsoma matusi kibao yamemjaa,malezi ya uswahilini hayo
  10. M

    Mwanaume (34 - 42)

    Kwa nini JF Members hasa wa muda mrefu mmejaa negativity tuuuu na madiscouragement kibaoo kwa wenzetu.Kwanza nashangaa kama hutafuti mke,mume,mchumba,rafiki etc why are u visiting Love Connect,nimegundua hata mnaoclaim kua mmeoa au mmeolewa 99% hamna furaha katika ndoa zetu ndio sababu kucha...
  11. M

    wanawake

    Hebu wanaume acheni kukwepa majukumu yenu hata kwenye maandiko ya dini ipo hy,mwanaume lazima utafute kwa jasho bwana.Sasa acha kujicompare na mwanamke.Hata kama wote mmefanya kazi miaka 10,a man is a man,compare yourself with other men.Sio kwamba nafagilia wanawake kuwa na tamaa zilizopitiliza...
  12. M

    So lonely,help please

    Nawashukuru wote mlionipa ushauri wa aina mbali mbali na mlioni-PM,I am so much better now.
  13. M

    So lonely,help please

    Na wewe unajiita Great thinker,uwiiiii
  14. M

    So lonely,help please

    Sio kila kitu kazima ucomment,u start making unresonable assumptions,ishiiiiiii
  15. M

    So lonely,help please

    Thanks Nicolson,I think you are among the few great thinkers around here
Back
Top Bottom