Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa Wenyeviti wa Bodi mbalimbali kama ifuatavyo;
Kwanza, Rais Magufuli amemteua Prof. Jacob Philip Mtabaji kuwa Mwenyekiti wa Kamisheni ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kuanzia tarehe 15 Septemba, 2016.Rais wa Jamhuri...
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Dk. Hamisi Kigwangalla ameagiza waajili wote nchini kutoajili wataalamu wasio sajiliwa na wataalamu wa Baraza la Maabara za Afya nchini ili kuepuka kuajili wataalam hewa.
Dk. Kigwangalla ameyasema hayo jana wakati wa...
Tanzania imetajwa kuwa nchi ya kwanza duniani kufanikiwa katika utoaji wa huduma za kifedha kwa kutumia mitandao ya simu.
Hayo yameelezwa jana jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA) Eng. James Kilaba katika mkutano wa kimataifa wa wadau wa mawasiliano...
Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Profesa Sifuni Mchome amesema kuanzia sasa sheria zote zitakazotungwa nchini zitakuwa katika lugha ya Kiswahili ili kuwawezesha wananchi wengi ambao ndio walengwa wa sheria hizo, kuzielewa.
Uamuzi huo unakwenda sambamba na kuzitafsiri sheria zote...
Serikali imeagiza wafungwa 280 katika gereza la Kitengule wilayani Karagwe, wahamishwe katika kipindi cha wiki moja kupelekwa gereza la Mwisa.
Watahamishwa baada ya mabweni yao kuharibiwa kwa tetemeko la ardhi lililotokea mkoani Kagera wiki iliyopita.
Agizo hilo lilitolewa jana na Waziri wa...
Baadhi ya Vijana waliohitimu katika fani ya ufundi wa magari chini ya Mradi wa Uwezeshaji Vijana Kiuchumi (YEE) wakifanya mazoezi ya kurekebisha magari katika gereji ya Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe, (mwenye tisheti jekundu) ni fundi msaidizi wa gereji hiyo, Haji Faki.
Meneja wa Mradi wa...
Serikali imeiagiza Idara ya Uhamiaji kuhakikisha inasimamia sheria kwa kuyakamata na kuyataifisha magari yote yanayotumika kusafirisha wahamiaji haramu kutoka nje ya nchi.
Pia, serikali imewaonya wanaojihusisha na mtandao wa kusafirisha wahamiaji haramu kuacha mara moja na kutafuta kazi...
Serikali imeahidi kuwasaidia wazalishaji wadogo wa bidhaa mbalimbali zikiwemo bidhaa za ngozi kwa kuwajengea uwezo wa kuzalisha bidhaa nyingi na bidhaa bora, ili wazalishaji hao wageuke ni viwanda vidogo, ili uchumi wa Tanzania ya Viwanda, viwanda hivyoviwe vinamilikiwa na Watanzania wakiwemo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.