Recent content by maryedow

  1. maryedow

    Wanawake jitambueni

    WANAWAKE WAKATI NIWENU KUJITAMBUA...............
  2. maryedow

    UVCCM Taifa yataka Mwenyekiti wake Arusha avuliwe Uongozi

    UVCCM NI JUMUIYA AMBAYO IKO MAKINI SANA. WENZETU BAVICHA NI VIMEO SANA, WANAPIGA KELELE BILA MIKAKATI MAKINI.
  3. maryedow

    UVCCM Taifa yataka Mwenyekiti wake Arusha avuliwe Uongozi

    TUMEMJUA MAPEMA KUWA AKANASABA ZA UKAWA TUKAMSHUGHULIKIA MAPEMA
  4. maryedow

    UVCCM Taifa yataka Mwenyekiti wake Arusha avuliwe Uongozi

    SOMA UPATE MWANGA. UVCCM NI TANURU LA KUPIKA VIONGOZI WA TAIFA, HAKIKA UTANUFAIKA...PITIA
  5. maryedow

    UVCCM Taifa yataka Mwenyekiti wake Arusha avuliwe Uongozi

    UVCCM ITAIGWA KWA KUWASHUGHULIKIA WEZI NA WAGHUSHI BILA AIBU WALA WOGA, SIO MACHADEMA NA UKAWA WANAO[POKEA WEZI BILA HAYA
  6. maryedow

    UVCCM Taifa yataka Mwenyekiti wake Arusha avuliwe Uongozi

    KAZI NZURI SANA UVCCM, KWA HALI HII CHADEMA NA UKAWA KWA UJUMLA ITAAMIA CCM BILA GILIBA YEYOTE.
  7. maryedow

    UTEUZI: Rais Magufuli ateua Wenyeviti wa Bodi tano nchini

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa Wenyeviti wa Bodi mbalimbali kama ifuatavyo; Kwanza, Rais Magufuli amemteua Prof. Jacob Philip Mtabaji kuwa Mwenyekiti wa Kamisheni ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) kuanzia tarehe 15 Septemba, 2016.Rais wa Jamhuri...
  8. maryedow

    Wataalam wa maabara waagizwa kujisajili

    Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Dk. Hamisi Kigwangalla ameagiza waajili wote nchini kutoajili wataalamu wasio sajiliwa na wataalamu wa Baraza la Maabara za Afya nchini ili kuepuka kuajili wataalam hewa. Dk. Kigwangalla ameyasema hayo jana wakati wa...
  9. maryedow

    Tanzania yaongoza duniani kwa utoaji wa huduma za kifedha kwa kutumia simu

    Tanzania imetajwa kuwa nchi ya kwanza duniani kufanikiwa katika utoaji wa huduma za kifedha kwa kutumia mitandao ya simu. Hayo yameelezwa jana jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA) Eng. James Kilaba katika mkutano wa kimataifa wa wadau wa mawasiliano...
  10. maryedow

    Sheria zote nchini kuwa kwa Kiswahili

    Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Profesa Sifuni Mchome amesema kuanzia sasa sheria zote zitakazotungwa nchini zitakuwa katika lugha ya Kiswahili ili kuwawezesha wananchi wengi ambao ndio walengwa wa sheria hizo, kuzielewa. Uamuzi huo unakwenda sambamba na kuzitafsiri sheria zote...
  11. maryedow

    Katibu Mkuu UVCCM: CHADEMA wanafanya Siasa Potofu, Wataka Uhakiki wa Misaada Ufanywe

    UVCCM NI TANURU LA MAENDELEO NA KUPIKA VIONGOZI WA TANZANIA.
  12. maryedow

    Tetemeko Kagera: Wafungwa 280 gereza la Kitengule kuhamishiwa gereza la Mwisa

    Serikali imeagiza wafungwa 280 katika gereza la Kitengule wilayani Karagwe, wahamishwe katika kipindi cha wiki moja kupelekwa gereza la Mwisa. Watahamishwa baada ya mabweni yao kuharibiwa kwa tetemeko la ardhi lililotokea mkoani Kagera wiki iliyopita. Agizo hilo lilitolewa jana na Waziri wa...
  13. maryedow

    Plan International Waishauri Veta Kuongeza Walimu Wa Mahitaji Maalum

    Baadhi ya Vijana waliohitimu katika fani ya ufundi wa magari chini ya Mradi wa Uwezeshaji Vijana Kiuchumi (YEE) wakifanya mazoezi ya kurekebisha magari katika gereji ya Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe, (mwenye tisheti jekundu) ni fundi msaidizi wa gereji hiyo, Haji Faki. Meneja wa Mradi wa...
  14. maryedow

    Hamad Masauni aagiza magari yanayokamatwa yakisafirisha wahamiaji haramu kutaifishwa

    Serikali imeiagiza Idara ya Uhamiaji kuhakikisha inasimamia sheria kwa kuyakamata na kuyataifisha magari yote yanayotumika kusafirisha wahamiaji haramu kutoka nje ya nchi. Pia, serikali imewaonya wanaojihusisha na mtandao wa kusafirisha wahamiaji haramu kuacha mara moja na kutafuta kazi...
  15. maryedow

    Serikali Kuwasaidia Watanzania Kushiriki Katika Ujenzi wa Tanzania ya Viwanda

    Serikali imeahidi kuwasaidia wazalishaji wadogo wa bidhaa mbalimbali zikiwemo bidhaa za ngozi kwa kuwajengea uwezo wa kuzalisha bidhaa nyingi na bidhaa bora, ili wazalishaji hao wageuke ni viwanda vidogo, ili uchumi wa Tanzania ya Viwanda, viwanda hivyoviwe vinamilikiwa na Watanzania wakiwemo...
Back
Top Bottom