Aiseee kweli huyu jamaa kamezeshwa matango pori na ccm kwaiyo habari zinazotoka mikoa yote tz kupitia Tv huwa kuna hizo kitu mbona unakua mfinyu Wa akili kama watuhumiwa Wa escrow jiongeze bhana ww unashanga arusha kuitwa jiji kwenu huko manjilinji kuna television gani au magazeti gani , basi...
Jamani mnyika huwa anaongelea sana swala LA Maji labda a nataka atembee narabarani akiliongelea hilo kamanakumbuka aliombeleaga swala LA mabomba ya mchina yasiofanya kazi hiki kipindi kimetokea kutopata Maji hapendi na anajitaidi sana mm nimeshamsikia akiliongelea bungeni zaid ya Mara tatu na...
Honhera kiongozi selasini ukawa hoyeeeee yani huuu ni mwendo kiwembe kikali wakicheza tunawachuna mpaka ngozi ,ngoja tusikilize rais atasema nn leo ukawa begakwabega na watadondoka tu kama wachawi
Huwa ukweli unauma katiba ya warioba ndio katiba inayowabana na kwakua ccm wanapenda vya kitonga ndio mana mnaiona sio nzuli Kwa tarifa yenu hatuikubali kabisa na kunapoekejea itakua kama binge LA Kenya mana hata as wananchi tumechoka sikushangai ww unaeitetea ccm kwakua unaweza kuta babako nae...
Kabisa pasco daaa yani kuliko nimsikilize huyo raising wenu mm nasikiliza record voice za ushindi Wa Kimara,mtwara,arusha na moshi ,kuliko nikae nimsikilize mana atatuambia nn kipya kama atatoa hukumu ya majizi ya kuteuliwa nitamsikiliza tena Kwa making sana
Kusikilizwa ni ndoto vumilia tu mana hats ukiongea haisaidii mana escrow imejaa masikioni na vichwani mwa watu Kwa kiasi walichogawana naimani hats iyo Barbara isingekua hivyo ilivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.