Mashuka king-size, mawili na foronya nne Bei 55000
Tunapatikana Dar na mikoani tunatuma
Call, WhatsApp 0759316488
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Ok niliwah kufanya hii biashara...niliacha kwakua msimamizi aliniibia.
Ni biashara nzuri kama utakua na gari lako la kubeba mzigo na kama utakua na machine ya kusaga plastic..mnunuzi machina,ukipeleka mzigo unalipwa hapohapo
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.