Recent content by Marwa Chacha

  1. Marwa Chacha

    GE2020 Uamuzi wa Musoma Mjini upo mikononi mwa Wananchi

    Mathayo anamaliza awamu ya Ubunge kupitia Ccm na Julius Mwita anaomba nafasi kupitiwa Chadema.
  2. Marwa Chacha

    GE2020 Uamuzi wa Musoma Mjini upo mikononi mwa Wananchi

    Siasa ya Musoma mjini October 28 itakuwa ni uamuzi mkuu wa wana Musoma kumrudisha Mathayo au kumpa nafasi Kamanda Julius Gabriel Mwita. Muonekano katika kampeni ya Mwita ya Juzi kata ya Rwamilimi na jana kata ya Kigera imeonesha mchuano mkali upo baina ya hawaa viongozi wawili..
  3. Marwa Chacha

    GE2020 CHADEMA imembebesha Lissu jumba bovu. Atashindwa lakini atatoa changamoto

    Naona unatafuta nafasi ya kufagia Ikulu😂😂.
  4. Marwa Chacha

    Upinzani Mara 2020

    Katika msimu wa uchaguzi ambao Watanzania wengi watasubiri matokeo yake kwa hamu ya kuona kama bado uimara wa upinzani upo ni majimbo 5 ndani ya mkoa wa Mara na ni haya hapa Rorya chini ya Ezekia Wenje, Musoma mjini Julius Mwita, Tarime Mjini Easter Matiku, Tarime vijijini John Heche, Serengeti...
  5. Marwa Chacha

    GE2020 Yanayojiri Matokeo ya CHADEMA kura za maoni kwa Wagombea Ubunge 2020

    Hii kitu round hii mbona mapema sana Chadema wanapita nayo.
  6. Marwa Chacha

    GE2020 Yanayojiri Matokeo ya CHADEMA kura za maoni kwa Wagombea Ubunge 2020

    Matokeo ya kura za maoni ya ubunge CHADEMA Rorya ni Kama ifuatavyo; 1. Ezekia Dibogo Wenje 189 (66%) 2. Stephen Juma Owawa 62 (21%) 3. Passy Mwita Sanya 29 (10%) Wapiga kura walikuwa 283.
  7. Marwa Chacha

    GE2020 Saed Ahmed Kubenea: Sijachukua fomu za Kugombea Ubunge CHADEMA Jimbo la Ubungo

    Wewe Kenge huwezi kujuwa bali viongozi wako wakuu Lumbumba wanajuwa hilo[emoji12][emoji12]
  8. Marwa Chacha

    CHADEMA kwanini mmekubali kugawika Jimbo la Ubungo?

    Kwani katika uchaguzi kwanzia 2010 Chadema walishindaje?hivyo hivyo ndio watashinda na huu Uchaguzi ndugu.najuwa wewe ni team ya yule jamaa aliyekimbilia Act.
  9. Marwa Chacha

    GE2020 Saed Ahmed Kubenea: Sijachukua fomu za Kugombea Ubunge CHADEMA Jimbo la Ubungo

    Chadema ndio chuo bora ya viongozi nchini[emoji3577]
  10. Marwa Chacha

    GE2020 Rais Magufuli azungumzia wapinzani wanaohamia CCM na kupewa kipaumbele cha uongozi na kugombea

    Hahaha subirni msimu ujao viongozi wote wakuu ndani ya Ccm watakuwa ni wakutoka upinzani[emoji23][emoji23]
  11. Marwa Chacha

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Tanesco mkoa wa mara shida nini jamani leo siku ya pili Musoma mjini hatuna umeme.pia umeme kwa siku zingine imekuwa ikatika kila mara.au kuna mgao wa kisiri siri tujuwe kama wateja wenu?ni vizuri munatupa updates kama kuna shida kuliko kuwa kimya.
  12. Marwa Chacha

    GE2020 Uchaguzi Mkuu 2020 mkoa Mara

    Katika Bunge lililomalizika 2015/2020 wabunge wa CCM mkoa wa mara wale wajimbo na hata viti maalum hakuna yoyote kati yao aliyejenga hoja ya mshiko na muonekano unaonekana ni hao hao ndio tena wanategemwa kurudi kugombea nafasi zao kwa awamu nyingine. Hii inaonesha kuwa CCM mkoa wa mara hawana...
Back
Top Bottom