Habari zenu wadau naombeni kujuzwa kama kuna mtu anayefahamu mishahara na ngazi za mishahara ya TCU tafadhali. Pia kama wana allowances.
Natanguliza shukrani zangu za dhati!
Shika sana kidogo ulichonacho mkuu maana kuna waliorithishwa majumba na vihamba ila ndugu zao wenye tamaa wakauza.. Ila hiyo itakukumbusha mzee wako. Ni hazina tosha hutopata machungu sana sana utapata cha kusimulia watoto na wajukuu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.