Kwa maisha ya leo kua tu mama wa nyumbani bila chanzo cha kipato ni changamoto, gharama za maisha sasahivi zimepanda pia kuna wakati mume ana kwama ,kuna magonjwa kuna vifo .Nikitangulia mimi sawa yeye atabaki kulea watoto maana kazi anayo je akitangulia mume je tunaishije na watoto??
Zamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.