K
Kinachotakiwa serikali iseme nauli imeongezeka sh 100 tu kwa mabasi yote ya route za kawaida. Siyo madereva kujiamulia tu watakavyo.
Mbona zamani huko mkuranga nauli ikipanda huwa inaongezeka Mia Mia?
Jaribu kuwa muelewa hivyo vyote ni chuki kwa Mungu hata katika Biblia imeandikwa hizo ni tamaa za kibinadamu.
Kwani hakuna mashekhe wanaofanya kinyume na maandiko ya Quran???
Na yeye alkibadili dini kuwa mkristo ndiyo basi tena atakuwa hana maadili km hao wakristo unaowasema....
Umeshajijengea akilini kwako wanawake wa muislam wako hivi na wakristo wako hivi utapata tabu sana.
Siyo sababu ya foleni ni uchache wa magari ya shule. Unakuta shule ipo segerea mwisho na watoto wanaishi kinyerezi afu wanashukuliwa saa12 kasorobo, hapo kuna foleni kweli??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.