Nyumba ipo maji ya chai Arusha, ina eneo la 15*15 ipo hatua 20 kutoka barabara kuu ya Moshi-Arusha. Haijamaliziwa ipo kwenye plasta. Bei ya kutupa nina shida na pesa kwa sasa. Serias buyer njoo tutaone eneo!!
0787913493/0624001171
bado halijapimwa, pia halina hati nishamba pori tu ambalo halijawahi kulimwa ni zuri pia kwa uinvest kitu. mazao mengi unaweza kulima kutegemeana na msimu mf mahindi,bei ni mil 8 tu
nauza shamba lenye ukubwa wa ekari 16 njia ya kwenda wilaya ya pangani kata ya kirare kijiji cha kirare shamba halijawahi kulimwa. main road bei maelewano. nitafute 0787913493
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.