Ni kweli alikuja kwa israel lakini walimkataa sasa soma baada ya kumkataa kila anayemwamini anafanyika mtoto ndio maana akasema si kwa kuzaliwa
[11]Alikuja kwake, wala walio wake hawakumpokea.
He came unto his own, and his own received him not.
[12]Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa...
Sasa usichanganye mambo Yesu ujio wake wa kwanza hakuja kujaji mtu alikuja kutoa utaratibu ambao sasa ukiukataa ndipo atakuja kukujaji mwishoni . Alikuja kama mkombozi lakini awamu nyingine atakuja kama kama mfalme na awamu ya mwisho atakuwa mhukumu
Watu wengi tulimwamini sana Mbowe kama anaweza kuendesha chama na hana maslahi yanyoambatana na CCM lakini huu uchaguzi wa mwenyekiti wa CHADEMA umemprove wrong kuwa haaminiki.
Hebu angalia woote walikubali Lissu agombee uraisi hii ikiwa na maana anaweza kuongoza nchi yetu vyema lakini jambo...
Hakuna sehemu inasema tumeombee Yesu Rehema Yesu ndiye atakayehukumu watu wote ila upande wa muhamad yeye hajui aendako pamoja na kuwa hadi Allah anamuombea rehema
Kama wewe ni kiongozi katika chama cha siasa au taasisi yoyote kubwa na chini yako kuna wafanyakazi wengi kufikifi kuwa bila wewe kampuni au chama kitakufa basi wewe ndio utakuwa tatizo katika hiyo taasisi.
Kiongozi mzuri ni yule anayeandaa watu kuwa viongozi anajua kuna kufa, kuugua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.