Recent content by Markomx

  1. M

    JamiiForums Tanzania Nadra sana kukuta mwanamke mwenye miaka zaidi ya 30 hajaolewa halafu akawa "wife material"

    Wauni wengine wajipigie ad wazae nae afu mlokole mm ndio niambie ad unioe,kichekesho
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nadra sana kukuta mwanamke mwenye miaka zaidi ya 30 hajaolewa halafu akawa "wife material"

    Mimi kuna mmoja boya kweli analeta pigo za hadi unioe ndo nikupe tunda na ana mtoto mmoja,kunasiku napita usiku nakuta kabananishwa na mdau muuza duka na ana miaka 28 nikasema umri ukienda mnaanzaga kujifanya walokole kumbe upuuzi mtupu
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nadra sana kukuta mwanamke mwenye miaka zaidi ya 30 hajaolewa halafu akawa "wife material"

    Mkuu shida uko general sana,labda tuulize sifa za wife material ni zipi? Kwa uzoefu wangu mimi wife materials Ni mama zetu wa zamani ila hii dunia ya AI tusidanganyane labda huujui mtaa na dunia ya wanawake wa sasa.Bila kupepesa macho sizani kwenye huu ulimwengu wa sasa kunamwanaume akatoka...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Nadra sana kukuta mwanamke mwenye miaka zaidi ya 30 hajaolewa halafu akawa "wife material"

    Mkuu unaongelea mabinti wa kizazi kipi?.zamani ilikua sawa ila wa sasa hapana, Mfumo wa elimu unamfanya binti amalize shule(o level) miaka 17-19 anakaa kidogo anaenda advance au chuo.Hapo hapo kunakampeni na msisitizo wa soma kwanza mapenzi baadae Binti anakaza anamaliza akiwa na 22-23 akienda...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Nadra sana kukuta mwanamke mwenye miaka zaidi ya 30 hajaolewa halafu akawa "wife material"

    Akili,hichi kizazi cha AI miaka 18-25 huwa bado wanaendeshwa na mihemko ya dunia
  6. M

    JamiiForums Tanzania Nadra sana kukuta mwanamke mwenye miaka zaidi ya 30 hajaolewa halafu akawa "wife material"

    Kule tabora tubinti huwahi kuolewa ili kutoa nuksi Sijui navyo ni wife materials?kwa dunia hii ya tiktok mwanamke wa chini ya miaka 25 awa hakuna kitu akili bado hazijakomaa,bora 25-30yrs
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wa kuishi na mwanamke mfanyakazi/mtumishi

    Sawa mkuu
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wa kuishi na mwanamke mfanyakazi/mtumishi

    Sawa mkuu
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wa kuishi na mwanamke mfanyakazi/mtumishi

    Cc mahandovaw safi sana
  10. M

    JamiiForums Tanzania Katoro: Uzinduzi wa Kampeni ya CHADEMA ya Katiba mpya, Free Lissu Watikisa. Maduka yafungwa saa 5 asubuhi

    Mkitoka mje Suzy longe tule moja mbili
  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wa kuishi na mwanamke mfanyakazi/mtumishi

    Wapo waliosoma na wapo vizuri,hii game ni betting
  12. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wa kuishi na mwanamke mfanyakazi/mtumishi

    Ashaludi kwa mzee baba nipo nae mkuu next week lazima aanze kula ndimu
  13. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wa kuishi na mwanamke mfanyakazi/mtumishi

    Safi sana
  14. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wa kuishi na mwanamke mfanyakazi/mtumishi

    Thanks
  15. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wa kuishi na mwanamke mfanyakazi/mtumishi

    Thanks nayafanyia kazi mkuu,naanza kua mpole
Back
Top Bottom