Recent content by Markomx

  1. M

    JamiiForums Tanzania Nimevumilia Usaliti wa Mke wangu kwa Miaka, Simu yake imenifungua Macho

    Ao Vimeo wanaojifanyaga wanayajua makanisa ndio njaa kumtupa
  2. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kuzindua ujenzi wa SGR kutoka Tabora kwenda Kigoma pamoja na meli 4 mpya

    Mkuu tusaidie mama yetu mpendwa amalizie kipande cha makutupora tabora,tabora mwanza,maana ni mda mrefu hakuna kazi inayoendelea zaidi ya miaka miwili
  3. M

    JamiiForums Tanzania Pesa haihitaji kelele, ukiona mtu anajitapa, mpuuzie. ‘GSM wa Katoro’ kafanya matusi aseee

    Mnachokosea mnazani Watu wanafanya kujionesha,Hii harusi ni ya kawaida tu kwa kanda ya ziwa,wasukuma ni utamaduni wao,hakuna mtu anatafuta mashindano,uyo GSM wa Katoro umewahi mskia popote?Hii harusi imekuzwa na mitandao tu ila kwa kanda ya ziwa hata hawashangai,wanawashangaa nyinyi kwa kukuza vitu
  4. M

    JamiiForums Tanzania Nasikia sasa hivi kila pisi inakimbilia Geita. Kunani!?

    Kwa Tanzania hii ukitoa dsm na kahama sizani kuna mkoa wenye mzunguko mkubwa wa pesa kama viunga vya geita(geita town,katoro,Lunzewe,kahama)
  5. M

    JamiiForums Tanzania Waacheni Warudi Lakini Wasitutoe Kwenye Reli: Je, Hii ni Mkakati wa CCM Kudhoofisha CHADEMA?

    Inasikitisha sana, Ila huwezi jua kama chadema waliweka project ya kupandikiza watu vyama vingine wakirejea kunashida?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Nadra sana kukuta mwanamke mwenye miaka zaidi ya 30 hajaolewa halafu akawa "wife material"

    Wauni wengine wajipigie ad wazae nae afu mlokole mm ndio niambie ad unioe,kichekesho
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nadra sana kukuta mwanamke mwenye miaka zaidi ya 30 hajaolewa halafu akawa "wife material"

    Mimi kuna mmoja boya kweli analeta pigo za hadi unioe ndo nikupe tunda na ana mtoto mmoja,kunasiku napita usiku nakuta kabananishwa na mdau muuza duka na ana miaka 28 nikasema umri ukienda mnaanzaga kujifanya walokole kumbe upuuzi mtupu
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nadra sana kukuta mwanamke mwenye miaka zaidi ya 30 hajaolewa halafu akawa "wife material"

    Mkuu shida uko general sana,labda tuulize sifa za wife material ni zipi? Kwa uzoefu wangu mimi wife materials Ni mama zetu wa zamani ila hii dunia ya AI tusidanganyane labda huujui mtaa na dunia ya wanawake wa sasa.Bila kupepesa macho sizani kwenye huu ulimwengu wa sasa kunamwanaume akatoka...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nadra sana kukuta mwanamke mwenye miaka zaidi ya 30 hajaolewa halafu akawa "wife material"

    Mkuu unaongelea mabinti wa kizazi kipi?.zamani ilikua sawa ila wa sasa hapana, Mfumo wa elimu unamfanya binti amalize shule(o level) miaka 17-19 anakaa kidogo anaenda advance au chuo.Hapo hapo kunakampeni na msisitizo wa soma kwanza mapenzi baadae Binti anakaza anamaliza akiwa na 22-23 akienda...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Nadra sana kukuta mwanamke mwenye miaka zaidi ya 30 hajaolewa halafu akawa "wife material"

    Akili,hichi kizazi cha AI miaka 18-25 huwa bado wanaendeshwa na mihemko ya dunia
  11. M

    JamiiForums Tanzania Nadra sana kukuta mwanamke mwenye miaka zaidi ya 30 hajaolewa halafu akawa "wife material"

    Kule tabora tubinti huwahi kuolewa ili kutoa nuksi Sijui navyo ni wife materials?kwa dunia hii ya tiktok mwanamke wa chini ya miaka 25 awa hakuna kitu akili bado hazijakomaa,bora 25-30yrs
  12. M

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kuishi na mwanamke mfanyakazi/mtumishi

    Sawa mkuu
  13. M

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kuishi na mwanamke mfanyakazi/mtumishi

    Sawa mkuu
  14. M

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kuishi na mwanamke mfanyakazi/mtumishi

    Cc mahandovaw safi sana
Back
Top Bottom