Mimi kuna mmoja boya kweli analeta pigo za hadi unioe ndo nikupe tunda na ana mtoto mmoja,kunasiku napita usiku nakuta kabananishwa na mdau muuza duka na ana miaka 28 nikasema umri ukienda mnaanzaga kujifanya walokole kumbe upuuzi mtupu
Mkuu shida uko general sana,labda tuulize sifa za wife material ni zipi?
Kwa uzoefu wangu mimi wife materials Ni mama zetu wa zamani ila hii dunia ya AI tusidanganyane labda huujui mtaa na dunia ya wanawake wa sasa.Bila kupepesa macho sizani kwenye huu ulimwengu wa sasa kunamwanaume akatoka...
Mkuu unaongelea mabinti wa kizazi kipi?.zamani ilikua sawa ila wa sasa hapana,
Mfumo wa elimu unamfanya binti amalize shule(o level) miaka 17-19 anakaa kidogo anaenda advance au chuo.Hapo hapo kunakampeni na msisitizo wa soma kwanza mapenzi baadae
Binti anakaza anamaliza akiwa na 22-23 akienda...
Kule tabora tubinti huwahi kuolewa ili kutoa nuksi
Sijui navyo ni wife materials?kwa dunia hii ya tiktok mwanamke wa chini ya miaka 25 awa hakuna kitu akili bado hazijakomaa,bora 25-30yrs
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.