Recent content by Markomx

  1. M

    Unaweza oa mwanamke wa miaka 35?

    Dogo ukimuona huwez amini kama ana 30+,ni chuma hasa na anajua kujitunza,hata k yake utazani ni bikra
  2. M

    Unaweza oa mwanamke wa miaka 35?

    Hunitakii mema,35 yrs Mimi atanizalia watoto wangapi?
  3. M

    Unaweza oa mwanamke wa miaka 35?

    Wakuu Salaamu,naomba kuuliza tu mfano wewe umekutana na Binti wa miaka 35,mwenye watoto wawili baba tofauti,unaweza oa mwanamke wa dizaini hii? Ni piss ya kwenda,mpambanaji but kasoro ni hiyo tu,
  4. M

    Mtumishi wa serikali ambaye Take home yake ni around Tsh 450k, 500k na kuendelea, sikia hii

    Dogo kama wewe Bado sana,unaeamini mshahara mkubwa let's say 1.5M ndo unaweza kua na maisha, Kifupi mshahara haujawai kutosha,never,kunawatu wanaiyo mishaara ila Bado wanalife ngumu sana Na kunawatu wanakunja 200k na wanaela sana, Kunawatumishi hawategemei uo mwisho wa mwezi,wanapiga mishe za...
  5. M

    Naomba kujua Tabia za wanawake wa kijita

    Asanteni wakuu,dondoo mlizonipa ni mule mule nilizopewa na baadhi nimejionea,nimefata ushauri wenu
  6. M

    Naomba kujua Tabia za wanawake wa kijita

    Asanteni wakuu,myasemayo ni kweli nayashuhudia,kinakiburi,kikorofi,kinapenda chini,
  7. M

    Naomba kujua Tabia za wanawake wa kijita

    Apo kupenda shoo uko sahihi,inabidi uwe na energy za kutosha
  8. M

    Naomba kujua Tabia za wanawake wa kijita

    Wakuu nipokisiwani ukanda wa ujitani,naomba nikili wazi kwa bongo bongo kama hujawai umana na penzi la kijita wewe Bado sana,wakuu hizi jita's ladies ni mtu na nusu,zinajua si kitoto Wakuu kunamtoto wa kijita nimemuelewa sana,naplan awe my dear wife. Wakuu nipen zile code za ndani kabisa,maana...
  9. M

    TMA yatoa utabiri wa mvua kubwa katika mikoa 25

    Ukanda wa ziwa Leo nvua imepiga tangu saa 3
  10. M

    Hivi kwa haraka haraka ng'ombe 400 watakua ni bei gani

    Kila ng'ombe 1 milion,penshen ya ubunge ni 275milion,pesa ya ng'ombe inazid peshen,Kinatafutwa nini?Ubunge then uwaziri,good maesabu
  11. M

    Je! Mamlaka zinamuogopa Prof. Mlacha,??

    Kauli za prof mlacha zinafurahisha sana
  12. M

    Je! Mamlaka zinamuogopa Prof. Mlacha,??

    Prof Mlacha ni hatari sana Aliwai waambia wafanyakaz wa udom kua hakuomba kaz UDOM bali aliteuliwa na Rais(j.k) Akawaambia "TAFUTENI BARUA YANGU YAKUOMBA KAZI KWENYE MAFAILI YENU KAMA MTAIPATA" Huyu mzee anakauli matata sana Alikua na undugu na fatherhouse mstaafu wa wa nchi wa awamu...
  13. M

    Je, wajua kwamba unaweza kuwa unafuatiliwa kupewa ajira ya huduma ya siri ya serikali bila kujua?(Shushushu)

    Ukiwa mlevi utapewa kitengo cha KULEWA MKUU,kaz yako.nikushinda viwanja unalewa ila usiwe unapoteze channel Kunamwenzio alilewa akawa anatamba anaijua Milango yote ya ikulu boya sana yule
  14. M

    Ajira katika TISS zitangazwe?

    iyo kaz hapana mkuu,we ishia kuchek movie ova Mambo yakufanyana machizi mtaani we unaona ndo life? We live to attain happines over
Back
Top Bottom