Recent content by maritweet

  1. M

    Je,umri mkubwa ni kigezo cha kupata ajira ya afya na ualimu?

    Habar waalimu,naomba niulize ndani ya uzi wako,Je ,katika account za waalimu za ajira portal,mikoa ipo?Kwangu hakuna mkoa tangu walipoitoa mwanzon,acc.ikawa under maintanance..ilivyorudi hakuna mkoa,kuna MDAs &LGAs tu.
  2. M

    Mliofanya usaili ajira za Afya tupeni update hali ilikuwaje

    Nauliza ,je wanatoa maswali ya content?Au general tu kutoka kwenye field?Yani inabidi mtu ale module kiaina?Na kama ndyo,hii ni shida mana itabid mtu asome ya mwaka wa kwanza adi finali? Naomben mwanga wakuu
  3. M

    Tunapitia mengi katika kutafuta. Tusikate tamaa (Kutoka kuwa walimu wa nursery hadi mkufunzi wa elimu ya juu)

    Hivi MTU akiwa na GPA 3.4 KUshuka chini,anaweza pata nafas za kufundisha hata vyuo vya kati?Naona Vyuo vikuu wanaanziaga 3.5+
  4. M

    Msaada kupata mafao NSSF baada ya kuachishwa kazi

    Ulifanya kazi ya proffessional au siyo proffessional?
  5. M

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Acha tu ndug ,nilitoa ushaur ya jinsi ya kuweka wadhamin hapa,mtu akadiriki kuniita mjinga,ilihali hanifaham.Na kuniambia naleta uchama ..kisa nimesema waweke wadhamin wanaotokea mtaa au kata yake,anaweza kuwa mjumbe,mwkit ,mtendaji,diwani,hawa comrades wa chama kama anawafaham,wakuu wa...
  6. M

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Kuna mpaka ma comrades wa chama,ngazi za mtaa,kata,wote wanahusika..yaan chain ni ndefu..ukipita hujuani na mtu ,yan ukipata pesa unakimbiza zaka kanisani..hahha
  7. M

    Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Mie hata sina hamu kabisa na hizi nafasi ya kufanyiwa mchujo ofisi za mtaa;Mtendaji mtaa ana mtu wake,Mw/kiti,Wale wajumbe wa ofisini,Diwan ana wale wadhamin wake ,wana watoto wao wanamuambia awape kazi,Mabalozi wana watoto wao.. Ktk hyo chain kama huna ukaribu na mmojawapo,hapo hatujaenda...
  8. M

    Ntashindwa kulipata dole gumba la mdhamini huyu,nawezaje kumuondoa na fomu nimepakua?

    Hawajataja,ila ..si lazma maoni yangu yafuatwe..Jaribu kufanya upelelezi binafs utagundua hilo. Na hii si kwa kazi hii tu..yyte..unapoweka refferee ambaye ana fahamika na hyo taasisi inaleta imani...
  9. M

    Ntashindwa kulipata dole gumba la mdhamini huyu,nawezaje kumuondoa na fomu nimepakua?

    Huwezi kukoment bila kutukana..hyo ndyo critical thinking capacity yako ,Kila la kheri.
  10. M

    Ntashindwa kulipata dole gumba la mdhamini huyu,nawezaje kumuondoa na fomu nimepakua?

    Nimeona kuna mkuu anasema ameshindwa kuweka dolegumba sababu mdhamini yupo mbali. Naomba nichangie uzoefu,na wengine pia mchangie.. Kuhusu mdhamini.Kwenye kazi kama hii inayohitaji utambulisho kutoka serikali ya eneo mtu anaishi; Ni vyema mdhamini akawa kati ya wafuatao;1.Mjumbe 2.Mwenyekit wa...
  11. M

    Biashara ya viatu inaweza kukutajirisha

    Uzi bora kabisa.Sijaruka koment
  12. M

    Tabia ya Sekretarieti ya Ajira kupanga usaili Jumamosi ni kama ubaguzi kwa Wasabato

    Unaenda zako ibada ya mkesha,unapiga energy asubuh..huyoo.. Vyuoni napo test zinafanyika Jumamosi,Jumapili. KAZI NGUMU KUPATA ,KIKUBWA TUOMBE BARAKA ZA MUNGU NA SI KUJIWEKEA MIPAKA.
  13. M

    Kwa mtoto mtundu ambaye hasikii fanya hichi kitu

    Nimeona huu uzi nikaufurahia sana,sababu ni leo tu jiran yangu mmoja ,kwa umri ni dada..ana mtoto wake drs la 5,mtundu,au mtukutu japo sijui kutofautisha. Anaiba nyumban chench chench,akaenda sehem ya biashara mama yake anapofanyia,anaruka ddirisha pia anaiba pesa hata za wengine humo...
  14. M

    Mpya: Waombao ajira za ualimu TAMISEMI kuna kipengele kimeongezwa

    Cheti cha kuzaliwa wameandika'nakala",kwa kingereza Copy,hapo inakuaje mkuu
Back
Top Bottom