Recent content by Mario Kejob

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kibu Denis ni mshambuliaji hatari sana kuliko George Mpole

    Naunga mkono Howard. Mimi namuona kama center forward hivi kuliko winger.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Wana Simba SC Wenzangu mtanisamehe, ila Goli la Chirwa lililokataliwa 100% ni sahihi na tumlaumu Kocha Pablo kwa Ubovu wake

    Wamepandishwa mwewe kwenda Lindi kuambulia point moja. Hebu hawa wachezaji wamuonee huruma muwekezaji. Wakati umefika waanze kukatwa mshahara, wao na kocha wao.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kocha Pablo Kagombana na Clatous Chama wapatanishwe haraka kwa Faida ya Simba SC

    I f I were to pick side, I will pick CCC. Pablo Escobar has to go.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kocha wa Simba SC, Pablo Franco ni Kocha mzuri ila anahitaji wachezaji

    Kocha hana first 11 mpaka leo na anachelewa sana kufanya sub. Mugalu ni kama vile kamroga. Hana tija yoyote uwanjani na bado anacheza dkk karibia zote.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Morrison agombana na shabiki wa Yanga, adaiwa kutumia kitu chenye ncha kali

    He is too much of a liability. One drama after another. Simba should let him go.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kariakoo msimu huu wa sikukuu hapapitiki

    Tupeleke Watalii hapo kwenue hilo songombingo.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Utaratibu wa kuwakata Wapangaji hela kila wanaponunua umeme, unauma sana

    Nchi ninayoishi mimi kuna kodi kama 9 hivi kwenye bili ya maji na umeme. Barabara ni nzuri na pesa nyingine huja huko kama misaada. Zikienda kwenye kuchangia maendeleo siyo shida.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kuna 'misinformation' inaendelea kuhusu Uber/Bolt kufunga biashara Tanzania..

    Hawa ni vibaka wakubwa afadhali tu waondoke. We can live without them.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Ukiacha pesa, kitu gani kingine kinaweza kukupa furaha?

    Kwenda kumjulia hali mama yangu kila weekend huku nikimfungashia vijizawadi na kuliona tabasamu lake ambalo hung'arisha nuru ya maisha.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Hivi wachaga pekee ndio mnaweza biashara ya bar au nyumba za starehe?

    Si waamifu kwenye shughuli zao na janja janja nyingi sana. Wanakutajia bei kutokana na muonekano wako. Ukiwa na muonekano wa ki-sure, utabambikwa bei mara tatu ya bei ya kawaida. Madukani kwao wanatabia kama za ki-machinga. Kitu cha elfu mbili kama wewe una muonekano wa ki-sure, unabambikwa elfu...
  11. M

    JamiiForums Tanzania ATCL watolea ufafanuzi kuhusu hali ya tairi la ndege iliyosambaa Katika Mitandao ya Kijamii

    Acheni ukanjanja. Badilisheni hilo tairi. Msilete U-miky mouse hewani. Mchubuko umevuka hata hizo nyuzi. Accept responsibility and change the tyre immediately before the unknown happens.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Hata Hivyo Simba Mliingia Kinyonge Mno

    Kocha katuangusha kwa kutomfanyia sub Mugalu. Hakuwa na mchango wwt ndani na ni kawaida yake kufanya mirafu ya hovyo. Stricker anatolewa kwa kucheza rafu ni kichekesho kikubwa. Mshituko wa kadi nyekundu uliwatoa mchezoni na baada ya muda mfupi tu Orlando waliwea kupata goli. Mkude kuanza kupiga...
Back
Top Bottom