Recent content by marigweni

  1. M

    JamiiForums Tanzania Nionyesheni mradi wowote wa Samia 2021-2025

    Kijini kwetu kajenga bonge la shule na hospital , makuyuni korogwe vijijini
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri. Ni muda sahihi Bagamoyo ipewe hadhi ya mkoa

    Asipo kuelewa hapa atakua na tatizo,ila watu wengi wakisikia halmashauri ya wilaya fulan ,wanajua ni wilaya
  3. M

    JamiiForums Tanzania KERO Wananchi wa vijiji vya Kwa Sekinga, Kanza na Lugulu - Same Mashariki hatujaunganishiwa umeme

    Nazani shida sio hata Ana kilango maana yeye ndie kapambana hadi nguzo zimesambazwa kwenye hivyo vijiji
  4. M

    JamiiForums Tanzania KERO Wananchi wa vijiji vya Kwa Sekinga, Kanza na Lugulu - Same Mashariki hatujaunganishiwa umeme

    Hivyo vijiji havina umeme licha ya nguzo kusambazwa tangu mwaka jana,,
  5. M

    JamiiForums Tanzania KERO Wananchi wa vijiji vya Kwa Sekinga, Kanza na Lugulu - Same Mashariki hatujaunganishiwa umeme

    Mh Raisi na mama yetu mpendwa SAMIA SULUHU HASANI mimi kama mwananchi wa kijiji cha kwasekinga kuna malalamuko kutoka kwa wananchi wa vijiji vya kwasekinga,lugulu na kanza katika jimbo la Same mashariki ,maana tangu nguzo zaumeme zisambazwe mwaka jana 2024 mwezi wakumi hadi sasa wananchi...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Hayati Magufuli: Mtanikumbuka, msema kweli ni mpenzi wa Mungu!

    Jembeee sana magufuli ,ila miradi uliyoicha mama anaisimamia kikamilifu na kwaspeed ,hongera sana chief hangaya
  7. M

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kwa Rais Samia; Mwalimu Mkuu wa Kitinku awafukuza shule watoto wa Mzee Salum kwa sababu wanakwenda kuswali siku ya ijumaa

    Ijumaa nilazima watoto waende shule ,ila ikifika saa sita hadi saa nane wanaenda kuswali ,kwahiyo kama huyo mzeee anawazuiya watoto wasiende shule ijumaa ,watoto wanahesabika kama watoro so mwalimu atakua sahihi,ila pia kama mda wakuabudi ukifika hawapew nafasi yakuswali ,huyo mwalim atakua na...
  8. M

    JamiiForums Tanzania TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Kijiji cha kwasekinga kata ya miamba wilaya ya same ,tangu mwaka jana mwezi wa tisa mlileta nguzo na nakuziweka kweny mashimo nakufunga nyaya ,ila hadi leo nikama mradi wakuunganishiwa majumbani imekua ngumu,tukiuliza tunaambiwa mradi ulikuja kisiasa kwajili ya uchaguzi wa serekeli za mitaa...
Back
Top Bottom