Hipi mkuu kwa wale waafrika walio ishi mwanzo kabla ya watu weupe kuja na kuleta dini zao afrika, tukisoma historia walikuwa wanaamini miungu yao ama mizimwi ya kiafrika? na wala hakukuwa na shida nyingi kama leo.hii leo wale waafrika hawakushika hizo dini za watu weupe na wangali wanaamini...
Hilo mkuu ni kweli kabisa tangu huweke daralasa hili macho yangu yamefunguka kabisa nikafahamu kuwa yapo mengi tusiyo yajua hipo bora kimya unatulia unajuzwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.