Recent content by mariam22

  1. M

    sijaenda shule mpaka leo

    Asanteni wote kwa ushauri wenu , ni bora nikajaribu yakinishinda nitaomba uhamisho nawashukuru wote waliochagia nikifika shule nitawajulisha thanks
  2. M

    sijaenda shule mpaka leo

    Hapana kaka sina nia hiyo ila tu nahofia kupata asthma attack nikiwa sehemu ya baridi na sina ndugu yeyote wakaribu machame
  3. M

    sijaenda shule mpaka leo

    Asante kwa ushauri wako , na pia nawaza labda nianze tution kwa sasa ili angalau niweze kwenda sawa na wenzangu waliopo shule
  4. M

    sijaenda shule mpaka leo

    Habari zenu wadau, mie nilichaguliwa kidato cha tano shule ya machame sasa mzazi wangu amejaribu kunitafutia uhamisho kwenda jagwani kwasababu ya afya yangu[nina pumu]na pia umbali wa shule , sasa ameenda wizarani mara ya tano sasa na kupeleka barua lakini hamna progress yeyote , na huko...
  5. M

    Msaada kuhusu shule ya jangwani girls

    Habari zenu ,ninaomba maelezo kuhusu shule hii ( kama kuna walimu wa kutosha ,mazingira yake ,hostej,ufaulu wa shule) inshort mazuri na mabaya asanteni
  6. M

    msaada kuhusu shule ya machame girls

    Habari! Naomba kwa anaye fahamu shule ya machame girls anieleze kuhusu mazingira yake ya kusoma ipo maeneo yapi na pia contacts zake ikiwezekana , naomba ushauri wenu juu ya kuenda shule hii asante
  7. M

    Form 4 na wengine, angalieni hapa!

    habari! mie nilikua naomba ufafanuzi juu ya faida ya kuenda kidato cha tano au kuenda chuo ( certificate ) , ipi ni njia nzuri ? maana kunawatu wanatuambia kusoma kidato cha tano ni kupoteza muda bora kuenda 1 kwa 1 chuo kuchukua certificate
  8. M

    Form 4 na wengine, angalieni hapa!

    habari zenu wadau mie nimwanafunzi niliyemaliza form 4 nakupata div 2 point 19 na combi iliyobalance vizuri ni CBN tatizo nikua mie sijui kuhusu hii combi nikimaanisha huko chuo na ajira zake. pia nilikua naomba mnishauri shule ya serikali inayofaa kusoma combi hii please naomba mnijibu
  9. M

    Ni kuhusu hii combination ya CBG..

    na mie pia nilikua ninauliza kuhusu hii combi ya CBN huko mbeleni kuna nafasi nzuri ya ajira
Back
Top Bottom