Hongera zenu viongozi mnaondoka madarakani kwa kazi nzuri mliyoifanyia chama chenu. Hongera za pekee kwa mwanadada Ester Daffi kwa kuwa sehemu ya mafanikio ya baraza lenu. Muendelee kupigania demokrasia na maendeleo kwa vijana hata mkiwa nje ya BAVICHA
Ni wapi duniani umma ulishashindwa mbele ya watawala?
Ni kutokuwatendea haki wananchi kusema eti rais aonekana kulegeza msimamo. Wananchi ndio wanaoweza kulegeza msimamamo ama la. Rais alegeze asilegeze umma unasonga mbele. Ndio utawala wa kidemokrasia huo.
Timu iliyoko inatosha kabisa kwa CHADEMA. Mapengo tu ndio yatafutiwe watu mahiri wa kuyaziba.
Ningependa kumuana mwanadada HALIMA MDEE anakua naibu katibu mkuu wa CHADEMA kuziba nafasi ya ZITTO Kabwe
Hayo ndio maoni yangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.