Recent content by Maria Nyedetse

  1. Maria Nyedetse

    Sheikh Jaabari na masheikh wengine wanne wakuu wa Hebron wametia saini barua ya kuitambua Israel!!

    Wao wanapanga na Mola Mlezi anapanga, kwa hakika Mola Mlezi ni Mbora katika kupanga ... Dhulma will never ever last......
  2. Maria Nyedetse

    Dar es salaam kuwa kitovu cha bidhaa za refurbished

    Kwa sera hizo labda jaribu UDIWANI ujue kwanza complexityness
  3. Maria Nyedetse

    Dar es salaam kuwa kitovu cha bidhaa za refurbished

    Hiyo ni sehemu ya kupunguza takataka baada ya kutumika, Kama Kiongozi kuwaza kuanzisha viwanda VYA refurbished ni sawa na kuridhia nchi kuwa dumple
  4. Maria Nyedetse

    Dar es salaam kuwa kitovu cha bidhaa za refurbished

    Hakuna viwanda VYA refurbished ila Kuna workshops za kurestore worthiness ya bidha zilizotumika ziweze kutumika tena.... Utaua industrial base ya nchi
  5. Maria Nyedetse

    Dar es salaam kuwa kitovu cha bidhaa za refurbished

    Utaua local innovation Utadrain hard currency reserves Utafanya nchi kuwa dumple la bidhaa zilizotumika nje Utaua future ya uchumi wetu kutoka kwenye production na kubakia uchumi wa kichuuzi
  6. Maria Nyedetse

    Nani aliyekuja na hoja ya Israel ni taifa teule la Mungu?

    Nimetanguliza hakuna sababu ya Jaziba... just calm
  7. Maria Nyedetse

    Wakuu Tehran inaungua muda huu na lango la gereza mashuri la Evin limelipuliwa

    There is possibility of drag on of this war... The situation might be dire and hurtful to the whole region of Middle East
  8. Maria Nyedetse

    Nani aliyekuja na hoja ya Israel ni taifa teule la Mungu?

    Muungwana hutoa hoja au kushindana kwa hoja... Mihemko na marusi huashiria kuna shida. Tuwe na staha na kujadiliana kwa hekima
  9. Maria Nyedetse

    Je upo ushahidi Nyerere aliwasaliti Waislamu, Je yapo makubaliano yeyote ya maandishi waliyoingia baina yao kabla ya uhuru

    Ambacho watu.wengi hawafahamu Imani ya KIISLAM ni katiba, sheria na utaratibu kamili wa MAISHA YA MWANADAMU hivyo haiwezi kamwe IKASTAWI PAMOJA na mifumo mingine ya MAISHA [Dini, mifumo mingine kama Ukomonisti au Ubepari] Vita dhidi ya UISLAM ni endelevu mpaka mwisho wa dunia na UISLM utaibuka...
  10. Maria Nyedetse

    Rais Trump anampenda sana Mungu: Sikiliza alivyohitimisha hotuba yake baada ya kuvisambaratisha vinu vya nyuklia – Iran

    Open up your eyes! The World of SATAN is build on MASS DECEPTION, in the first place denied the AMERICAN INVOLVEMENT BUT NOW CONFESS AMERICAN COOPERATION WITH ISRAEL FROM BEGINNING. The same was during Iraq, Lybia invasions. The ultimate goal is Global dominance and prepare grounds for final...
  11. Maria Nyedetse

    Nani aliyekuja na hoja ya Israel ni taifa teule la Mungu?

    One of the greatest asset ya MPINGA KRISTO au DAJJAL for MUSLIMS ni DECEPTION. - Destruction of Iraq, Syria, Yemen and now Iran is part of the PLAN. In few YEARS we will witness the Destruction of Masjid Al Aqsa to pave the way for construction of third TEMPLE as the prerequisite of the COMING...
  12. Maria Nyedetse

    Nani aliyekuja na hoja ya Israel ni taifa teule la Mungu?

    Habari za Asubuhi team!! kabla ya kuanza uzi wangu naomba kuweka sawa mambo yafuatayo;- 1. Sishambulii wala kudogosha au kudhalilisha dini ya KIKIRISTO kwa sababu uzi huu unahusu purely Christian faith. 2. Lengo la mada hii ni.pure curiosity to learn 3. Nahitaji open discussion siyo jaziba...
Back
Top Bottom