bado mawazo yako ya mabadiliko unataka kuyaona moja moja!mererani ni sehemu ya production tu na hata huko unakosema ni production areas,development iko where people leaves!nani kakuambia cjafika mtwara hata sasa niko K.Masoko hapa.CYO KWELI MSIFICHE UBINAFSI WENU IN THE NAME OF OTHER...
duh!kazi kweli kweli!ukweli mzee,its like a sword!badala ya kujibu hoja mnatoa kashifa or mara makapi or mara masalia!u wont get far brother with the vision of ur part!badilisheni mbinu mkubwa!
jamani kama ni Tuhuma tu then hana Sifa ya kufukuzwa uanachama! thibitisheni kwanza tuhuma ndo mumfukuze!Ama Shoza ana TISHIA MASLAHI YA WAKUBWA WA CDM NINI?
Ila kwenye mtiriko wa makosa kwenye barua kama vile kapoint ka Shoza ka UKANDA kanaukweli hivi!
mmmh!kaka kubali hata kama not in your favor! si issue ya moderator kuzuia threads!let him produce the evidence! Tuache ushabiki wa interest zetu,zikiguswa tunataharuki!tutafute ukweli hata kama unauma!
kweli umefilicka kimawazo!ubinafsi umekutawala!ni miaka mingapi,walim na madaktari wakusini wanalipwa kwa kodi za watu wa dar na migodi ya kahama,mwadui,mererani na na geita? UBINAFSI WA WATU WA KUSINI UMEWAPIGA UPOFU!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.