Recent content by marceljr

  1. M

    Ongezeko la riba kwenye mfuko wa hifadhi NSSF

    Huu uzi ni dhahabu kwa watanzania kama utafanyiwa kazi ........... Kwa Tanzania kuna uwekezaji wa pamoja kama UTT AMIS , FAIDA FUND, INUKA FUND , M-WEKEZA etc ambayo riba yake kwa mwaka ni walau asilimia 12 ba kuendelea sasa kwanini mifuko ya jamii kama NSSF na PSSF wasiwekeze pesa za...
  2. M

    Kwenye maombi na dua zako tafadhali yakumbuke makundi yafuatayo

    Umeandika vizuro Kabisa ila mwishoni hapo ndio unaonekana kada wa hivyo Kabisa unatakiwa kukubali watu wenye fikra tofauti sio kuamini upande moja
  3. M

    Mapenzi ya siku hizi yamekuwa ghali sana na hela hazionekani kabisa

    Despite STD's hii kitu sahivi Wanagawa kama njugu maana unakuta wanawake hawajui au inachukua mda kujua kama ana STD'
  4. M

    Mwana Mbea una deal nae vipi?

    Wana wa hivi kaa nao MITA 800 na hapaswi kujua zako za ndani, Maana wanaume tuna code zetu kwahiyo kama mwana anagawa code huyo siyo mwana
  5. M

    Mpenzi wangu anasema ameokoka, lakini anataka nimpe utamu, je nifanyaje?!

    Unaweza kumpa utamu na ukaolewa na usimpe na usiolewe, All in all mapenzi hayana formula, kwani wew huna ugwadu money penny mbless mwana utamu bhana kikubwa mpime ili uwe salama na yeye awe salama[emoji38][emoji38] Mimi mwanamke akininyima utamu nayeyuka MITA 80000
  6. M

    Mahari Tsh. 2,500,000/-! Niacheni ninunue shamba la kulima mpunga huko Mpanda

    Piki piki used hata laki tano ipo au mpaka aseme [emoji38][emoji38][emoji38]
  7. M

    Mahari Tsh. 2,500,000/-! Niacheni ninunue shamba la kulima mpunga huko Mpanda

    Bado Niko 20s lakini naamini ndoa ni baraka Kununua mbususu Kuna risk zake lakn pia kama mwanamke mnapendana nadhani Bora kuoa kuliko kununua mbususu maan ya kununua siyo ya kudumu, Lakini hata hivyo kupamban kutafta hela ni muhimu ili likitokea la kutokea ulee watoto wako na usipate shida...
  8. M

    Mahari Tsh. 2,500,000/-! Niacheni ninunue shamba la kulima mpunga huko Mpanda

    Mkuu Bora uoe tu kama suala ni hela na mwanamke amekukubali toa nusu pengine mke ni baraka ukaoa Kuna faida nyingi za mke kuliko hasara maana 46 is enough kwa wewe kuoa, Gawa hiyo hela kwa mwaka hata miaka miwili mke ni wako utatoa mdogo mdogo huku kilimo kinaendelea na mambo mengine, nadhani...
  9. M

    Life begins at 40 Vs Midlife crisis

    [emoji38][emoji38]wakt ndio mda wa kutafuta au walitak watafute kwenye 15 yrs
  10. M

    Life begins at 40 Vs Midlife crisis

    Hapo kwenye kulinda afya yako nakuunga mkono, tujitahidi tulinde afya ili ukiwa na 50's na kuendelea uone utamu wa maisha kuliko kuanza route za hospital mengine Mungu atulinde ila tuweke jitihada katika ulaji, mazoezi.
Back
Top Bottom