Recent content by maramojatu

  1. M

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri Leo mahakamani kwenye kesi ya mchongo ya TUNDU LISSU..soma hapa

    Kesi ya uhaini anafungwa tena? Si sheria inasema atanyongwa hadi kufa? Mnyongeni basi kama mna ubavu
  2. M

    JamiiForums Tanzania CCM waliomba kanisa Katoliki kuwaleta CHADEMA katika meza ya maridhiano!

    Sasa kama taasisi ya dini inapinga maovu kama utekaji, wizi wa kura na wa vitu, na mauaji halafu chadema na Mh. Lissu wao wanataka demokrasia isiyo na extra judicial killings na abduction si lazima wataonekana wapo sawa? Kuwa sawa siyo dhambi. Kosa kubwa kwenye jamii ni kuuwa watu kwa...
  3. M

    JamiiForums Tanzania CCM waliomba kanisa Katoliki kuwaleta CHADEMA katika meza ya maridhiano!

    Kwa hiyo kama chadema hawataki extra judicial killings kuna ubaya gani TEC nao wakilaani watu kutekwa na kuuawa?
  4. M

    JamiiForums Tanzania CCM waliomba kanisa Katoliki kuwaleta CHADEMA katika meza ya maridhiano!

    Wananchi ni chadema na chadema ni wananchi
  5. M

    JamiiForums Tanzania Hasara ambazo taifa linaingia kwa kesi ya lisu!!. Mamilioni yanateketea kwa jambo ambalo halina uhalisia.

    Wewe unafikiri watu watakulaje? Ongezeya na mahusiano ya serikali na wananchi
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ruto: Hata Mkininyima Kura Malaika Wataniongezea, lazima nitashinda Urais

    Haina shida nyie ruhusuni katiba mpya kabla wananchi hawajaidai. Tunaitaka hivyo hivyo
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kalonzo: Opposition will defeat Ruto by more than 70% in 2027

    Ngumu kuiba mpaka kura zitoshe kwa Ruto
  8. M

    JamiiForums Tanzania Sababu za kiroho kwanini ndoa za kanisani (kikristu) na msikitini (kiislamu) huwa hazidumu

    Kanisani ilikuwa kuwafurahisha jamii na magrupu mengine ili nisionekane outlier
  9. M

    JamiiForums Tanzania Sababu za kiroho kwanini ndoa za kanisani (kikristu) na msikitini (kiislamu) huwa hazidumu

    Mimi ndoa yangu nimefunga kwa taratibu za kimila ila kanisa limeibariki baadaye
  10. M

    JamiiForums Tanzania Itatuchukua Miaka Mingi saana Kumpata Rais Mchapakazi Aina ya Samia Anayeshinda na Kukesha Akifanya Kazi. Maisha Yake Ni Sadaka Kwa Taifa letu

    Wewe na mabandiko yako hapa ndio wa kuonea huruma. Kama hujui hilo ni bahati mbaya sana
  11. M

    JamiiForums Tanzania Si mnajimwambafy kuwa hii nchi ni ya kwenu. Fanyeni madhara yoyote kwa John Heche au Tundu Lissu halafu muone kitavyonuka

    Na wewe uliye nje ya jela una uhuru gani? Zaidi ya kuimba mapambio na kuita uhuru
  12. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ukiwauliza CHAUMMA na ACT - Wazalendo wanataka kuridhiana nini na CCM hawawezi kukwambia

    Mobutu alianzisha vyama 1000 na bado mambo yalikuwa magumu
  13. M

    JamiiForums Tanzania Tumekuwa tukiaminishwa Morocco wameendelea ila vijana wao wako bize kukimbilia Ulaya

    Sasa umeshasema maendeleo halafu unashangaa Morocco. Maendeleo ni dynamic. Hata wewe kuna mtu unamwona ameendelea lakini anapambana zaidi hata ana ndoto za kwenda kuishi nchi zingine. Maendeleo siyo hela tu hata demokrasia nzuri inafanya kuwe na usawa ambayo ni maendeleo makubwa
Back
Top Bottom