Recent content by maramojatu

  1. M

    JamiiForums Tanzania ACT Wazalendo: Iwapo Nchimbi hataonekana hadharani ndani ya wiki moja tutaiburuza Serikali mahakamani

    Kwani walishaogopa mahakama?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Lema: Nimeona sintofahamu mtandaoni baada ya pole kwa Mama Samia. Tunaodai kupigania uhuru wa maoni na demokrasia, hili linapaswa kutufikirisha

    Lema alipaswa kutulia sababu hakupewa kazi ya kupeleka sababu za pole
  3. M

    JamiiForums Tanzania Zijue faida ya mafuta ya Amla

    Hatuwezi kuipanda wenyewe hapa mkuu?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Zijue faida ya mafuta ya Amla

    Hivi hii miti ya AMLA ipo kwetu Tanzania?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Upinzani wa Tanzania: Je, Mnajua Mnachokitaka?

    Hatutaki mauaji na utekaji kila siku. Tunataka ulinzi wa kila mwananchi ili tufurahie kuwa huru
  6. M

    JamiiForums Tanzania CCM wajiandae kisaikolojia CHADEMA haipo tayari kuridhiana na wauaji, chuki ni kubwa

    Kuliko kurodhiana na wauaji na watekaji afadhali kukaa gerezani maisha
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mchome: Heche ni pandikizi la CMM ndani ya CHADEMA, yupo kwa ajili ya kutuvuruga

    The opposite is not false
  8. M

    JamiiForums Tanzania Je ni sahihi kuchukua barua alioandikiwa mtu fulani kwa kutajwa jina lake kabisa na kusema ni ya kwako ? case study biblia

    Na mimi mmasai naomba kuuliza tena na nikikataa kusoma vitabu vya waisrael kama Kutoka na hizo barua za Paulo, msimamo wangu kwenye hizo amri za usiue, usizini etc unaweza kubadilika? La hasha, kuna watu wamezaliwa hawajui hata hivyo vitabu vipo lakini hawakubali kuiba au kuzini etc. So...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Ukiona kiongozi ana mpambe/mtu/mlinzi nyuma yake, basi jua hayuko huru

    Siyo ku-take advantage. Ukishakuwa kiongozi wa state unakuwa the property of the same. The issue is which state?
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wauguzi Wagoma: Vifo 79 Vyaripotiwa kwa Siku Tatu Huku Mgomo Ukiingia Siku ya 37

    Ebu tujiongeze kidogo kusingekuwa na mgomo halafu hali ya vifaa tiba na negligence kwenye public institutions inabaki vilevile taarifa ingebadilika?
  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wauguzi Wagoma: Vifo 79 Vyaripotiwa kwa Siku Tatu Huku Mgomo Ukiingia Siku ya 37

    Thestandard wangetuwekea analysis zaidi ya idadi ya vifo kipindi sawia miaka ya nyuma ningeweza kujadili zaidi hii taarifa
  12. M

    JamiiForums Tanzania Je, Katiba inasemaje ikiwa Rais atakuwa Eda?

    Miongozo ya eda huwa ipoje? Hebu maulamaa watuwekee hapa jinsi inavyotakiwa ili wengine tujifunze dini ya marafiki zetu
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kiongozi yoyote kusoma Hotuba/Taarifa iliyo na makosa kidogo na Kiuandishi na kutojiridhisha nayo ni kutulazimisha tuamini ulivyo Juha (Mpumbavu) sana

    Taarifa ikiwa nzuri credit ni kwa kiongozi, ikiwa mbaya ni kwa watayarishaji. Sivyo?
Back
Top Bottom