Recent content by maramojatu

  1. M

    Mwenye dawa ya Kisukari ambaye yupo tayari kutuma sampo Ujerumani tuwasiliane

    Nikuache tu mkuu... Tunaelewa sayansi kwa dunia tofauti sana. Naweza kuwa najadiliana na mtu aliyekaririshwa vitu fulani na ambaye anaamini vitu vyote duniani vinafahamika with certainity kumbe wengine tumesoma kuwa vinavyojulikana are just a dot in the ocean
  2. M

    Mwenye dawa ya Kisukari ambaye yupo tayari kutuma sampo Ujerumani tuwasiliane

    Biology yako uliyofundishwa haikui? Kwa hiyo hakuna uvumbuzi? Hao wanaopewa Nobel Prize in Medicines huwa ni kwa kukariri panzi? Nategemea kuwa Ile biology unayosema ulisoma form two kuna areas unatakiwa uwe umejua zimebadilika. Jiongeze mkuu siyo kila ulichoambiwa kiko sawa. Hata kama...
  3. M

    Mwenye dawa ya Kisukari ambaye yupo tayari kutuma sampo Ujerumani tuwasiliane

    Hapa ndio akili zetu waafrika zilipofikia. Sababu wazungu wamesema hawawezi unafikiri Kila mtu hawezi
  4. M

    Matamshi yaliyopotoshwa

    Huwa naona aibu kusikiliza vyombo vya habari ambavyo ni mainstream media hapa Tanzania. Sababu huwa wanachoandika wanakijua wenyewe. Mungu wa mbinguni atusaidie
  5. M

    Chivayo 'Mwizi wa Uchaguzi’ na ‘Kipenzi' cha wanasiasa Barani Afrika, ameshatia mkono na kwetu?

    Hatuzungumzii sheria hapa, ni hadhi ya ofisi yetu ya Urais. Kama kukumbatiana kusikofaa fanyeni nyumbani kwenu. Ofisi yoyote ya umma huwezi mtembelea kiongozi huku unachati na kumkumbatia inappropriately
  6. M

    Chivayo 'Mwizi wa Uchaguzi’ na ‘Kipenzi' cha wanasiasa Barani Afrika, ameshatia mkono na kwetu?

    Ikulu ni sehemu takatifu ila tuliowapa waisimamie wanachukulia poa tu. Sijui ni kwa nini? Wakati ule walisema katiba ya nchi ni nini hata sikumbuki
  7. M

    Barabarani kuna watu wana Immunity, usijaribu kuiga. Sheria haziwahusu

    Muulize huyu kwenye hii link Ahmed Assas ana hati ya kusafiri ya kidiplomasia kwa hadhi ipi aliyo nayo? Nchi imeoza hii
  8. M

    Barabarani kuna watu wana Immunity, usijaribu kuiga. Sheria haziwahusu

    Rais wa nchi akipita na mwendokasi huwa amevunja Sheria au hajavunja?
  9. M

    Yesu alizikwa mara tu baada ya kufariki, kwanini Wakristo wanachelewesha mazishi na kuzichoma sindano maiti ili kuzuia kuoza na kunuka?

    Watu walikatazwa uzinzi, wizi etc na bado wanaendelea. Unafikiri andiko likiwepo itasaidia? By the way wakristo si wanatakiwa waishi the way of Jesus? Sasa kama alizikwa mapema huo si ndio ungekuwa mwongozo?
  10. M

    Barabarani kuna watu wana Immunity, usijaribu kuiga. Sheria haziwahusu

    Kajishughulishe kusoma Vienna convention on diplomatic relations ya 1961 utajua vizuri. Kila kitu kipo wazi ukiipitia
  11. M

    Barabarani kuna watu wana Immunity, usijaribu kuiga. Sheria haziwahusu

    Gari yenye namba za kibalozi ni kama office zao. Hata airport ukiwa na diplomatic passport unapita free tu. Tupo sawa ila siyo sawasawa.
  12. M

    Zijue njia mbalimbali za kuzikwa wafu.

    Kufufuliwa ni dhana ya walio wachache huku duniani. Kama roho haifi inafufiliwa nini? Mtu ni roho zaidi kulingana na hizo data nilizokadiria. Mwili ndio unakufa. Hata hivyo wakristo wanaamini watapewa mwili mwingine hiyo siku ya ufufuo. Hata kama jehanamu utakuwa tayari una mwili ambao huwa haufi
Back
Top Bottom