Nikuache tu mkuu... Tunaelewa sayansi kwa dunia tofauti sana. Naweza kuwa najadiliana na mtu aliyekaririshwa vitu fulani na ambaye anaamini vitu vyote duniani vinafahamika with certainity kumbe wengine tumesoma kuwa vinavyojulikana are just a dot in the ocean
Biology yako uliyofundishwa haikui? Kwa hiyo hakuna uvumbuzi? Hao wanaopewa Nobel Prize in Medicines huwa ni kwa kukariri panzi? Nategemea kuwa Ile biology unayosema ulisoma form two kuna areas unatakiwa uwe umejua zimebadilika. Jiongeze mkuu siyo kila ulichoambiwa kiko sawa. Hata kama...
Huwa naona aibu kusikiliza vyombo vya habari ambavyo ni mainstream media hapa Tanzania. Sababu huwa wanachoandika wanakijua wenyewe. Mungu wa mbinguni atusaidie
Hatuzungumzii sheria hapa, ni hadhi ya ofisi yetu ya Urais. Kama kukumbatiana kusikofaa fanyeni nyumbani kwenu. Ofisi yoyote ya umma huwezi mtembelea kiongozi huku unachati na kumkumbatia inappropriately
Watu walikatazwa uzinzi, wizi etc na bado wanaendelea. Unafikiri andiko likiwepo itasaidia? By the way wakristo si wanatakiwa waishi the way of Jesus? Sasa kama alizikwa mapema huo si ndio ungekuwa mwongozo?
Kufufuliwa ni dhana ya walio wachache huku duniani. Kama roho haifi inafufiliwa nini? Mtu ni roho zaidi kulingana na hizo data nilizokadiria. Mwili ndio unakufa. Hata hivyo wakristo wanaamini watapewa mwili mwingine hiyo siku ya ufufuo.
Hata kama jehanamu utakuwa tayari una mwili ambao huwa haufi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.