Sasa kama taasisi ya dini inapinga maovu kama utekaji, wizi wa kura na wa vitu, na mauaji halafu chadema na Mh. Lissu wao wanataka demokrasia isiyo na extra judicial killings na abduction si lazima wataonekana wapo sawa? Kuwa sawa siyo dhambi. Kosa kubwa kwenye jamii ni kuuwa watu kwa...
Sasa umeshasema maendeleo halafu unashangaa Morocco. Maendeleo ni dynamic. Hata wewe kuna mtu unamwona ameendelea lakini anapambana zaidi hata ana ndoto za kwenda kuishi nchi zingine. Maendeleo siyo hela tu hata demokrasia nzuri inafanya kuwe na usawa ambayo ni maendeleo makubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.