Ni kweli lakini utakuta mtu anaandika kwamba mfumo wa Elimu ubadilike pasipo kurekebisha kiini cha tatizo ambalo serikali ingeweza kushughulikia kwa haraka zaidi na mfumo kubadilika.
Mana hata huyo anayetaka mfumo wa Elimu ubadilishwe nae hajui unabadilikaje?
Sasa huoni kuwa hilo bado ni...
Tunaona kuna wabunifu walishatokea ambao hawakuwa na elimu ya kutosha kuweza kuendeleza vipaji vyao.
Hii italeta maendeleo makubwa sana kwa Elimu ya ufundi upande wa Engineering.
Endapo kama serikali itafanya mabadiliko kwenye Elimu ya mafunzo ya ufundi wa Electrical Installation, Electronics...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.