Mkuu nenda kariakoo, makutano ya barabara ya uhuru na congo, unaingia hapo kama unaenda gerezani, vuka mtaa wa Kipata, nenda mbele vuka mtaa wa Lindi, kulia kwako kuna frem zimejipanga, ulizia wanaotengeneza vitabu vya risiti utakuwa umewapata
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
TSHIRT MPYA KUTOKA CHINA ZINAUZWA KWA BEI YA JUMLA
ZIPO SIZE MBALIMBALI
KUANZIA PIECE 100 Tsh 3,400
UKIWA NA Tsh 340,000 UNAPATA BANDO LA TSHIRTS. UKIHITAJI PIECE ZAIDI YA 1000 UNAPATA
TUPO DAR ES SALAAM MTAA WA AGGREY KARIBU NA KITUMBINI
UNAWEZA UKAFIKA MWENYEWE AU UKATUMA MTU...
Mkuu, kuna mtu ameleta mabalo ya T-shirts mpya kutoka China, anauza kwa jumla. Minimum order piece 100, bei ya piece 1 Tsh 3,400. Kwa hiyo kwa Tsh 340,000 unapata piece 100. Ukitaka piece nyingi zaidi unapata. Store ipo Dar. Kwa mawasiliano, nitumie msg pm. Karibu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.