Usije ukamuacha mumeo Kwa ajili ya huyo jamaa SI kila rafiki ni rafiki huyo rafiki yake mumeo hafai kabisa na s mtu mwema na kitaalamu tunasema kamshika nyota mumeo yaani mumeo kainamishwa kichwa chini tumia njian mbadala za kumfanya mumeo amchukie huyo jamaa SI mwema katika ustawi wa ndoa yenu
Nilishafanya huo upumbavu wa kuchepuka alafu mwisho wa siku sijaona faida Nina Mwaka wa 3 sasa hivi sijui mwanamke wa nje na Wala siwaz kabisa nilishamwambia mke wangu nikimfuma nadhani itakuwa nafas ya yeye kwenda Kwa ngayi kimazingara
Ukiwakosa wote ni pm tutumize yalio andikwa katika vitabu vya Mungu tuwastir wanawake walio achika,waliofiwa na wamezao Ili wasiwe wapweke na wasifanye uzinifu Kwa uwezo wa Allah na mtume Muhammad bas hili Jimbo ni la kwangu naiman familia Bora huongozwa na mwanaume aliesimama imara katika...
Katika harakati zangu zote za kubanjuka sijawahi banjuka na mwanamke asie na mtoto na sijui kwanini Kwa Mungu ananipitisha katika hili na nilie muoa nae ni singo Maza ana nipenda kushinda anavyompenda mwanae ila huyu singo Maza ni package ya mwanamke ambae hutamani kuwa nae mbali Mungu...
Vile ambavyo anaishi na mume wew ndio mtoto wake ataish na wew yaani Yale mapenz,utu,maelewano hii point Huwa naiyelewaga sana yaaani hata nilie nae sipat nae tabu yaani napita Kule Kule
Nilishamwagiaga mke wangu nimeacha wote nimekuoa wew kwako ni mwaminifu Sina mchepuko wowote siku nikikufuma hapo hapo red card Mimi sigegedi nje kwanini ugegedwe nje
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.