Kwanza niwapongeze ukawa kwa hatua nzuri waliyofikia ya kuungana na kuwa wamoja. Nimefarijika na hatua hii kwani ni wakati muafaka wa kuanza kuwashughulikia mafisadi wote..
Ninachowaomba Ukawa ni kwamba wanapofanya mikutano kuelezea watu kupigia kura ya hapana katiba pendekezwa ya mafisadi...
Wapinzani (Ukawa) unganisheni nguvu zenu kuhakikisha uchaguzi wa 2015 mnashinda nafasi ya urais ili rasimu ya warioba irudi katika mjadala ..vingnevyo kilichopatikana leo kule bungeni kwa akina 6 ni haramu na wanaonesha hawana mapenzi mema na sisi raia wa hali ya chini..
Kitu ambacho naona UKAWA watakifanya ni kuweka mgombea mmoja wa CUF zanzibar na mgombea mmoja bara kupitia chadema...haitawezekana cuf watoe wagombea urais wawili toka zenji na bara wakatI chadema wasiweke wagombea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.