Recent content by mapinduzidaima

  1. M

    Tamko la CCM kufuatia mgogoro wa madiwani Bukoba (kuhusu utaratibu)

    CCM hamna ubavu wa kufukuza viongozi!!
  2. M

    CHADEMA: Operation kijana amka

    nipo tayari! Naomba utaratibu tafadhali,,
  3. M

    Rais Kikwete akutana na Wabwia Unga Ikulu Dar es salaam

    oyaaa! Jakay eeeh!! Mwanangu mi namtaka MTOTO SALMA niende nae mtoni kula bataa!! Au niaje mwanangu jakaya,, RAIS TUNAE.. WIKI LILILOPITA WALIENDA VIJANA WA BONGO FLEVA , RATIBA INASEMA MACHANGUDOA WANAENDA LINI AISEE
  4. M

    Omba omba ya Chadema ni haramu; tulaani utapeli huo!

    Hamy D LEO UKO PEKE YAKO!! Team lumumba wamelala!!! !! NA KAGERA MSHAPOTEZA! Leo we huwez kulala..
  5. M

    Omba omba ya Chadema ni haramu; tulaani utapeli huo!

    Kumbuka kwamba ata TANU WALIKUA WANAOMBA MICHANGO YA WANANCHI ILI KUENDELEZA HARAKATI ZA UKOMBOZI, CDM NI KAMA TANU .IMEDHAMILIA KUWAKOMBOA WANANCHI KUTOKA KWA MKOLONI CCM.
  6. M

    CCM Kagera yawafukuza madiwani wake 8

    cc hamy d..RITZ, LUMUMBA PROJECT,, WANDUGU KARIBUNI KWENYE MADA. Kama huwezi kubadilika mwenyewe ,Time will change u.
  7. M

    CCM haina ubavu wa KUWAFUKUZA DIWANI, MBUNGE, KITONGOJI au hata FISADI yeyote

    kinawalea mafisadi akina lowasa, majangili kama kinana, wauza unga kama ritz na azani,, siku zenu zinahesabika.
  8. M

    Mikutano ya Kihistoria ya CHADEMA kuhusu Katiba Mpya iliyofanywa Moshi na Musoma

    hii kasi ya CHADEMA NI NOUMA SANA!! Ccm matumbo joto.. Na kinana wao ambae agent wake ameshakamatwa!! Kwel za mwiz n arobaini
  9. M

    Mikutano ya Kihistoria ya CHADEMA kuhusu Katiba Mpya iliyofanywa Moshi na Musoma

    TAFADHALI MKUU NAOMBA UNIPE ICHO KIPENGELE NA MIMI NIKAKISOME VIZURI, TAFADHALI SANA. Awa magamba washavgeuza vibonzo
  10. M

    CHADEMA KAMA TANU, Hata wakoloni walifanya hivihivi kama CCM

    umechanganua sana mkuu! Big up! Lakn tegemea matus kutoka kwa buku 7 lumumba project
  11. M

    Zitto akiwa mwenyekiti; naahidi kuipa CHADEMA kura zangu zote!

    HAMY D WA MIPASHO,, HAUWEZI KUIVURUGA CDM KWA STAIL HII,,, WANAJAMVI KAMA MMEMWELEWA UYU KILAZA , HANA JEMA NA CDM HATA KIDOGO,,WE NI GAMBA TU HAMy
  12. M

    Kufurika viongozi wafanyabiashara CHADEMA; hii ina jenga picha gani kwa chama?

    na kufurika kwa viongozi MAFISADI CCM KUNA ASHIRIA NINI hamy d?
  13. M

    Natangaza rasmi kugombea ubunge jimbo la Kwimba 2015 kupitia CHADEMA

    jipange kamanda! Kugombea ubunge cdm ni kaz ngum, fanya kaz ili watu wakujue, ingia mtaani na sio mitandaoni, shirik harakat za m4c kikamilifu, elimisha jamii, GUUD IDEA
  14. M

    Mikutano ya Kihistoria ya CHADEMA kuhusu Katiba Mpya iliyofanywa Moshi na Musoma

    naunga mkono hoja! NI KUWANYIMA HAKI YA MSINGI VIJANA WALIOTIMIZA UMRI WA MIAKA 18,, JAPO KACHELEWA ILIKUA TUANZE NA CHAGUZ NDOGO,.
Back
Top Bottom