kati ya miji ambayo huwa nafikiria mara mbili kama nikienda kuishi huko itakuaje maana mauaji ya kutisha yote yapo huko like kuchunwa ngozi tisha sana mbeya
kiongozi bora hachaguliwi kwa cv zake kiongozi bora ni yule anay]ewajibika kwa wananchi wake, anajali watu wake huyo ndo kiongozi na si mwizi wa mali wa umma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.