Recent content by mapema

  1. mapema

    JamiiForums Tanzania Dkt. Nchimbi: Hakuna sheria inayotengua Katiba. Watanzania pambaneni kupata Katiba mpya

    inafikirisha sana , japonica no ccm lakini kuna namna anataka kueleweka havi!!! sijui kwa nini makamu wa rais wanakuwa wazuri kiasi hiki.
  2. mapema

    JamiiForums Tanzania Wakuu nina 60,000 niiweke kwenye nusu na fainali kombe la dunia nipeni mwongozo

    Hapana aisee! Kwanza mtu unakuwa na shinikizo la hali ya juu wakati mchezo ukiendelea.
  3. mapema

    JamiiForums Tanzania Wakuu nina 60,000 niiweke kwenye nusu na fainali kombe la dunia nipeni mwongozo

    Ee ndugu yangu nimekula za uso 😭
  4. mapema

    JamiiForums Tanzania Wakuu nina 60,000 niiweke kwenye nusu na fainali kombe la dunia nipeni mwongozo

    Ilikua 20,000 Kweli betting kimeo!
  5. mapema

    JamiiForums Tanzania Wakuu nina 60,000 niiweke kwenye nusu na fainali kombe la dunia nipeni mwongozo

    Dadeki my 20 imeenda na maji ! Sirudii tena ! Bora ningekunywa bia!
  6. mapema

    JamiiForums Tanzania Wakuu nina 60,000 niiweke kwenye nusu na fainali kombe la dunia nipeni mwongozo

    Umeniponza aisee! 😭
  7. mapema

    JamiiForums Tanzania Wakuu nina 60,000 niiweke kwenye nusu na fainali kombe la dunia nipeni mwongozo

    Imenifikirisha sana hii !
  8. mapema

    JamiiForums Tanzania Wakuu nina 60,000 niiweke kwenye nusu na fainali kombe la dunia nipeni mwongozo

    Shukurani za dhati
  9. mapema

    JamiiForums Tanzania Wakuu nina 60,000 niiweke kwenye nusu na fainali kombe la dunia nipeni mwongozo

    Ni kweli mkuu 20,000 kuipoteza si changamoto sana .
  10. mapema

    JamiiForums Tanzania Wakuu nina 60,000 niiweke kwenye nusu na fainali kombe la dunia nipeni mwongozo

    Duuuh Hata nyeto inatosha mkuu ila maisha ndugu yangu!
  11. mapema

    JamiiForums Tanzania Wakuu nina 60,000 niiweke kwenye nusu na fainali kombe la dunia nipeni mwongozo

    Shukurani mno , i'm sure naenda na hii, itakavyo kuwa naleta mrejesho . Asante tena.
  12. mapema

    JamiiForums Tanzania Wakuu nina 60,000 niiweke kwenye nusu na fainali kombe la dunia nipeni mwongozo

    Nafahamu hilo mkuu, 60,000 ndugu yangu kwa sasa si hela inayo weza kuanza chochote kikawa na mafanikio kulingana na hali ya uchumi kwa sasa na hali yangu . Asnte lakini kwa ushauri mzuri.
  13. mapema

    JamiiForums Tanzania Wakuu nina 60,000 niiweke kwenye nusu na fainali kombe la dunia nipeni mwongozo

    Kwa heshima na taadhima naomba huu uzi usihamishwe. Wakuu nataka kujaribu bahati yangu, nina kiasi hiko cha fedha nikigawanye Nikigawanye mara tatu, nusu fainali kati ya Argentina na England 20,000 Ufaransa na uhispania 20,000 Na finali yenyewe 20,000 Naamini kwenye jukwaa hili wapo wadau...
  14. mapema

    JamiiForums Tanzania Wanaume mna shida gani? Unamuheshimu mtu, anakuja kukutongoza

    Sijui ni Ai imesaidia kutengo cha matangazo kimefana kweli Yaani hili tangazo limeend moja kwa moja bila chenga
Back
Top Bottom