Wanawake ni wa kukaa nao mbali kabisa, yaani mbali mno.
Wao hawana cha kupoteza , anakupa bili zilizo shiba ukipangua haimsumbui ukiingia anashangilia na kukucheka uboya.
Kuna dada mmoja akatataka nimnunulie bia mbili ana hamu nazo sana, sikua na hiana maana bia mbili hizi local ni 5,000.
Kufika akaagiza brutal mbili na moja ya kwenda nayo nyumbani, akaagiza na nyama na ndizi na maji.
Mpaka, binafsi niliagiza maji tu.
Mpaka natoka pale ilijata 32,000.
Illibidi...
Hii post imetoka wapi?
Imetoka kwenye JamiiForums
Na muhimu ujue:
👉 Hii ni platform ya maoni ya watu, si chanzo rasmi cha ukweli.
🧠 Maudhui ya hiyo post kwa ufupi
Mwandishi anadai:
Kupeana mkono kunaweza kuua kiroho (uchawi)
Anatoa simulizi ya mtu (DINA) aliyekufa baada ya kushikana mkono...
vipi marekebisho, ni mia sita na mia nane labda?
tukubali tu hii ni aibu yetu sote , hamna namna ya kujitetea .
cha kusikitika ni daktari wa falsafa na daktari mbobevu wa muhimbili.
Bora aendelee kujichimbia Zanzibar na Dodoma na Dar , asiwe anajitokeza mbele ya uma kutoa ufafanuzi wowote.
ila hakika kama taifa tumewezwa aisee!
hata hivyo nahisi ni igizo ili vya kujadili viwe vingi.
mleta mada upewe pongezi, uko na upeo mkubwa kwenye haya mambo.
tokea nimekufahamu kupitia mada zako hapa jukwaani, ni karibu mwaka wa pili sasa, na kila wakati unakuja na kipya chenye na ubora kuliko cha jana.
shukrani za dhati maana yoote kwa asilimia kubwa unayo yawasilisha hapa ni kumlenga...
pia watu wengi walijiunga 2015 kipindi kile cha harakati za lowasa kule ccm na chadema.
jf imepitia misimu mingi ila msimu huu wa 2025 kuja 2026 ni wa kipekee aisee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.