Kila zama na nyakati zake , sisi wa miaka ya 80 katika makuzi yetu tulionekana wa hovyo kama sisi tunavyo waona wa hovyo wa miaka ya 2000.
Nao wata waona wa hovyo wanao waandama.
Sijui ni kitu gani kina thamani ya uhai, yaani nini unaweza kubadilisha na uhai hadi mtu kufikia kutoa uhai wa mtu mwenziwe!
Nje ya ubinafsi wa mwanadamu hamna kinginecho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.