Recent content by mapema

  1. mapema

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mrembo huyu hapa akipiga kazi. Nyie wengine kazi kushinda saloon na kupiga simu za vibumu. (Mizinga)

    Wanawake ni wa kukaa nao mbali kabisa, yaani mbali mno. Wao hawana cha kupoteza , anakupa bili zilizo shiba ukipangua haimsumbui ukiingia anashangilia na kukucheka uboya.
  2. mapema

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mrembo huyu hapa akipiga kazi. Nyie wengine kazi kushinda saloon na kupiga simu za vibumu. (Mizinga)

    Kuna dada mmoja akatataka nimnunulie bia mbili ana hamu nazo sana, sikua na hiana maana bia mbili hizi local ni 5,000. Kufika akaagiza brutal mbili na moja ya kwenda nayo nyumbani, akaagiza na nyama na ndizi na maji. Mpaka, binafsi niliagiza maji tu. Mpaka natoka pale ilijata 32,000. Illibidi...
  3. mapema

    JamiiForums Tanzania Tuwazuie watanzania wanaokwenda kusoma nchi za Magharibi

    Bila kusahau Pakistan
  4. mapema

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume tuwapende wake zetu,Tusichepuke

    Wao wenyewe wanaoenda tuchepuke.
  5. mapema

    JamiiForums Tanzania Epuka salamu ya kupeana / kushikana mikono, Avoid unnecessary hand shaking

    Hii post imetoka wapi? Imetoka kwenye JamiiForums Na muhimu ujue: 👉 Hii ni platform ya maoni ya watu, si chanzo rasmi cha ukweli. 🧠 Maudhui ya hiyo post kwa ufupi Mwandishi anadai: Kupeana mkono kunaweza kuua kiroho (uchawi) Anatoa simulizi ya mtu (DINA) aliyekufa baada ya kushikana mkono...
  6. mapema

    JamiiForums Tanzania Epuka salamu ya kupeana / kushikana mikono, Avoid unnecessary hand shaking

    Asante kwa uzi huu nimeenda kuomba ufafanuzi chatgpit naomba nibaki na hitimisho lake.
  7. mapema

    JamiiForums Tanzania Chuki ni nini hasa

    Yote yanaangukia kwenye matokeo kinyume na tarajio. Ngumu sana kumchukia yoyote usie tarajia chochote kwake
  8. mapema

    JamiiForums Tanzania Chuki ni nini hasa

    Matarajio yanapo tofautina na matokeo ndio chuki huzaliwa
  9. mapema

    JamiiForums Tanzania Artemis ii Capsule, inatarajiwa kutua leo ambapo itashuka kwa kasi kubwa mara 10 zaidi ya kasi ya risasi katika re-entry

    Wamerudi salama aisee! Kwa kiasi acha tu tuseme wenzetu wamefika mwendo wa mbali kuliko tunavyo dhani
  10. mapema

    JamiiForums Tanzania Taja Top 10 yako ya Miss JamiiForums

    tuwekee na wakina miss chaga, atoto, charmin girl, mahondaw, niffer, apologize lady, preta husinyo.
  11. mapema

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Bei ya mafuta Marekani na Ulaya ni Dola 800 na Euro 400/600 lita 1, Sisi tuko vizuri, tuna uhakika wa miezi 3

    vipi marekebisho, ni mia sita na mia nane labda? tukubali tu hii ni aibu yetu sote , hamna namna ya kujitetea . cha kusikitika ni daktari wa falsafa na daktari mbobevu wa muhimbili.
  12. mapema

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Samia kwenye page ya Ikulu imefutwa muda mfupi baada ya kuhutubia

    Bora aendelee kujichimbia Zanzibar na Dodoma na Dar , asiwe anajitokeza mbele ya uma kutoa ufafanuzi wowote. ila hakika kama taifa tumewezwa aisee! hata hivyo nahisi ni igizo ili vya kujadili viwe vingi.
  13. mapema

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Samia kwenye page ya Ikulu imefutwa muda mfupi baada ya kuhutubia

    sijui ni nani mshauri wa mama kweye hotuba zake
  14. mapema

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Unataka kumfanyia mwanamke kitendo cha uovu?

    mleta mada upewe pongezi, uko na upeo mkubwa kwenye haya mambo. tokea nimekufahamu kupitia mada zako hapa jukwaani, ni karibu mwaka wa pili sasa, na kila wakati unakuja na kipya chenye na ubora kuliko cha jana. shukrani za dhati maana yoote kwa asilimia kubwa unayo yawasilisha hapa ni kumlenga...
  15. mapema

    JamiiForums Tanzania Ingizo jipya JF: Ni nani na nani wanatamba kwa sasa?

    pia watu wengi walijiunga 2015 kipindi kile cha harakati za lowasa kule ccm na chadema. jf imepitia misimu mingi ila msimu huu wa 2025 kuja 2026 ni wa kipekee aisee
Back
Top Bottom