Recent content by mapema

  1. mapema

    Uzi maalumu : Elezea kero unazo kumbana nazo / maoni yako kwa watoto walio zaliwa mwaka 2000 na kuendelea

    Kila zama na nyakati zake , sisi wa miaka ya 80 katika makuzi yetu tulionekana wa hovyo kama sisi tunavyo waona wa hovyo wa miaka ya 2000. Nao wata waona wa hovyo wanao waandama.
  2. mapema

    Kuna mbibi ana miaka 43 anataka huduma ya ngono kutoka kwangu mimi yanki mwenye 37yrs. Imekaaje kitaalamu hii wakuu?

    37 ndio umri wangu ila siwezi kuuliza swali la kitoto namna hii aisee!
  3. mapema

    Makapuku Forum

    Kusafirisha bangi hukumu ni kifungo cha maisha! Wakate rufaa kwa kweli .
  4. mapema

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Duuuh! Kumbe zile taarifa za jana ni bundi alikua akilia bungeni!
  5. mapema

    Angalia Chance ya kuzaliwa wewe ikilinganishwa na chance ya kushinda Jackpot, au chance ya mtu kupigwa radi au chance ya vitu ambavyo ni nadra kutokea

    Ndio maana uhai hauna mbadala wake. Inastaajibisha sana mtu kuutoa uhai wa mwenzake , huwa hawezi kubaki na amani wakati wote kwa maisha yake.
  6. mapema

    JamiiForums Usiku wa manane

    Kuna watu wana juwa kupika aisee, hii hata kama ni kiporo jinsi kilivyo ingwa hutadhani kama ni mchele
  7. mapema

    JamiiForums Usiku wa manane

    Mi ndio nimechelewa, tokea saa saba sahani yangu ilikua tayari. Karibu aisee
  8. mapema

    JamiiForums Usiku wa manane

    mi ndio nakula pilao la Eid saa sita hii, shukrani za dhati kwa jirani.
  9. mapema

    Hii sio sawa yani jana tu mmemaliza

    Haina ukweli hii hadithi yako .
  10. mapema

    Mwalimu Shule Msingi achinjwa kwa kutenganishwa kichwa Katavi

    Sijui ni kitu gani kina thamani ya uhai, yaani nini unaweza kubadilisha na uhai hadi mtu kufikia kutoa uhai wa mtu mwenziwe! Nje ya ubinafsi wa mwanadamu hamna kinginecho.
Back
Top Bottom