Nafahamu hilo mkuu, 60,000 ndugu yangu kwa sasa si hela inayo weza kuanza chochote kikawa na mafanikio kulingana na hali ya uchumi kwa sasa na hali yangu .
Asnte lakini kwa ushauri mzuri.
Kwa heshima na taadhima naomba huu uzi usihamishwe.
Wakuu nataka kujaribu bahati yangu, nina kiasi hiko cha fedha nikigawanye
Nikigawanye mara tatu, nusu fainali kati ya Argentina na England 20,000
Ufaransa na uhispania 20,000
Na finali yenyewe 20,000
Naamini kwenye jukwaa hili wapo wadau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.