Recent content by maparage1

  1. M

    Why should Magufuli reject Sylvia Mulinge as Vodacom CEO

    Wale matajiri na wanasisa waliomiliki shares nyingi za Vodacom kipindi cha ujinga ujinga wetu pamoja na Shiva kama wamehamia Nairobi unategemea nini? Unaijua remote wewe?
  2. M

    Orodha ya Wakurugenzi wa Halmashauri ambao wanatakiwa kujitathimini utendaji wao

    Unaweza kuwa na uwezo wa kubuni mbinu za ukusanyaji na zikaonekana kero kwa wananchi. Msingi wa kodi zilizo stable kwa Halmashauri zetu ni Ardhi, vitu visivyo hamishika na wananchi wenyewe. Hivyo stable taxes ni kodi ya Ardhi ambayo kwa sasa inakusanywa na serikali kuu na Halmashauri kupewa...
  3. M

    Rais Magufuli: Ndege ndio heshima ya nchi

    Vizazi vijavyo vitamkumbuka kwa haya anayoyafanya. Wakati wa kujenga lazima maumivu yatokee.
Back
Top Bottom