-Kulia kwa hii road ni shule ya sekondari lufilyo
-nyuma kidogo kushoto nyumambani kwa prof.mark.
-ukienda mbele kidogo kuna mto ukivuka kuna kijiji cha lufilyo.
kokoa,maembe,parachichi,ndizi na vyakula vya kila aina vipo hapo. Hali ya hewa nzuri pia.
Natamani kama umri ungekuwa unarudi nyuma...
Kuna mahali hapa mtaani kwetu jamaa wanachoma chapati usiku tu,ase hiyo foleni ya wateja mpaka unajiuliza usiku mtu ananunua chapati za nini? Na wateja wengi ni vijana.
Umekurupuka!
Kwahyo sisi watanzania hawahawa tutalazimika kuwa na pesa kwenye sim ndyo tununue huduma? Mtanzania gani anapenda usumbufu huo?
Kama inashindikana kwenye EFD machines basi watanzania tutaendelea kulalamikia TRA wananyanyasa wafanyabiashara kila siku bila kujua wafanyabiashara...
Kuna dada mmoja nilipata kusoma nae na ana tatizo hilo alikuwa anatembea na kile kidude kinaitwa inhaler,sasa walimwengu bwana tulikuwa tukimwona nacho tulikuwa tunahisi anafanya show off;kwasababu kama tunavyojua kipindi cha miaka ya nyuma kidogo kulikuwa na magonjwa ya wenye hela ikiwemo pumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.