Ukipata mafanikio ujanani ukiachana na Starehe, ukiweza kuvuka nguvu za husda, wivu, kurogwa, kusemwa vibaya utakuwa umetoboa.
Maana siku hizi kila anaetoboa kijana anapakaziwa freemason au mchawi
Na haya Huwa yanafanywa na ndugu wa karibu wanaojua namna ya kukushusha na kukuangamiza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.