Recent content by Manzile

  1. M

    CRDB sasa tena wameongeza muda wa huduma kutopatikana, hivi hawa jamaa kimeawakumba nini?

    Hii inawezekanaje? Alikuja na card au alitoa kwenye App?
  2. M

    Mashindano ya wazi ya Washika Dini na Wachawi. Mshindi kundoka na laki 5

    Hahaha, Amini wafia dini wengi watajiunga uchawini
  3. M

    Mjadala huru: Je ni heri kutoboa ujanani, ukubwani au uzeeni

    Ukipata mafanikio ujanani ukiachana na Starehe, ukiweza kuvuka nguvu za husda, wivu, kurogwa, kusemwa vibaya utakuwa umetoboa. Maana siku hizi kila anaetoboa kijana anapakaziwa freemason au mchawi Na haya Huwa yanafanywa na ndugu wa karibu wanaojua namna ya kukushusha na kukuangamiza...
  4. M

    Nauza creti za soda na bia, kampuni zote

    Zina chupa zake
  5. M

    Nauza creti za soda na bia, kampuni zote

    Wadau nabadilisha biashara, Niko Morogoro mkundi. NAUZA CRETI ziko nyingi za bisa na soda. Kama unahitaji tuwasiliane. +255 689 744 852
Back
Top Bottom