Recent content by MANVOICEhd

  1. M

    JamiiForums Tanzania KERO Namba za NIDA hazijatoka zaidi ya miezi miwili tokea tujisajili kata za Arusha, tatizo nini?

    Wananchi tunahoji kwanini namba za NIDA hazijatoka zaidi ya miezi miwili toka zoezi la usajili wa namba za NIDA kufanyika katika kata za jiji la Arusha. Wengi wao wenye uhitaji wa namba za nida ni wanafunzi wanaotarajia kufanya application za mkopo wa elimu ya juu huku baadhi yao wakienda...
  2. M

    JamiiForums Tanzania KERO Kuna changamoto za Kimtandao kwenye Mfumo wa Anwani za NAPA, uboreshwe

    Mfumo wa NaPA na NIDA imekuwa ikileta changamoto, hapo kabla ulikuwa ukijaza Namba ya NIDA ya mtu kwenye usasishaji wa taarifa za mkazi inaleta taarifa zake, ukianza na majina yake matatu na jinsia sasa hivi imekuwa tofauti namba ya NIDA haitoi maelezo yoyote tunaomba mfumo huu muhimu wa anwani...
Back
Top Bottom