Mkuu kuna gari lina shida limeanza hivi juzi yaani kula mafuta mengi na kutoa moshi mwingi pia plugs zinawahi kuisha nguvu .pia ukibadilisha kutoka D kwenda R inakita sana au unapoongeza gia inakita hii imeanza baada ya kubadilisha control engine iliyokuwepo ni IMO sasa imewekwa ya kawaida .je...
Kuna gari aina ya alteza imepoteza nguvu hata mlima mdogo halipandi cjajua ttzo nn tumepeleka garage wakasema libadilishwe plug, zikabadilishwa lakini ttzo bado lile naomba msaada mkuu
Mkuu kuna gari aina ya alteza imepoteza nguvu cjajua ttzo nn tumepeleka garage wakasema tatizo ni plug wakabadilisha plug lakini ttzo bado lile hata mlima mdogo halipandi naombeni msaada
Mkuu kuna gari Kila ikibadilishwa pump inakufa baada kama ya miezi minne Tu sasa tatizo hapo ni nini linalopelekea mpaka pump Kuwa inakufa mala Kwa mala?
Habari mkuu kuna tatizo kwenye gari tatizo lakula mafuta kuliko kawaida gari ni funcargo cc1290 Lita 1 inaenda kilometa nane lilibadilishwa plug nakuweka za sindano lakini tatizo bado liko palepale naombeni msaada haswa wa jinsi yaku solve Hilo tatizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.