Ndugu zangu wanajf, natamani siku moja kuiona Tanzania mpya itakayo heshimu haki za binadamu, itakayokuwa na uchaguzi wa haki na huru, itakayo kuwa na vyombo madhubuti vya usalama vyenye uwezo wa kubaina matukio kabla ya kutokea na pale yakitokea utatuzi wa kudumu unapatikana.
Natamani kuiona...