Kwa uchawa huu, nakuabaliana kabisa na yule senata wa Kenya aliyesema mambo ya bunge la Tanzania hayana hadhi ya kujadiliwa na bunge la seneti, labda kwenye mabaraza ya serekali zao za mitaa (county).
Baada ya kudhalilishwa na seneta wa Kenya kuwa wabunge wetu hawajui hata mkataba wa jumuiya ya africa mashariki ndio nae spika anamka? Ifike mahala watawala watende haki badala ya kulifanya bunge kuwa genge la mipasho.
Mamlaka yepi? Katiba ya Zenji inatamka wazi kuwa Zenji ni nchi kamilii. Rais wa bara akienda kwenye sharehe anatangulia uwanjani na akija rais wa Zenji, rais wa bara anasimama kwa unyenyekevu kuashiria mwenye dola kaingia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.