Recent content by Mansander

  1. M

    GE2025 Profesa Kabudi: Tunafanya Uchaguzi Mkuu mwaka huu katika mazingira bora kuliko yote tangu tupate Uhuru

    Prof hata chembe ya aibu huna? Uchawa na shibe vinakupofusha hata unamkufuru Mungu? Kweli aliyeilaani Africa kafa!
  2. M

    Sijasikia mtu yoyote akilalamika kuwa Dkt. Hussein Mwinyi hajapitishwa kihalali kugombea Urais Zanzibar, Watanganyika tuna nongwa sana!

    Zanzibar kwa katiba yao ni nchi kamili, hivyo yao watashughulika nayo wenyewe.
  3. M

    Rais Samia anapata wapi Mamlaka ya kukashifu Makanisa na kuyaita Makanisa ya Kishetani?

    Ushauri gani mkuu? Unakumbuka usemi wake kuwa yeye ni 'chura kiziwi'? Kiziwi hasikii labda umfinye sikio.
  4. M

    Rais Samia hashauriki au ana washauri wabaya?

    Wananchi wa TZ siyo waajiri wa rais, rais wa TZ ni tunda la tume yake ya uchaguzi.
  5. M

    Video: DC Bomboko huku ni Kujidhalilisha, Si kila mtu ni mwoga. Haya sasa unajisikiaje?

    Wenzetu wa jirani wakiiona, ndio watazidi kuonyesha uongozi wetu ulivyojaa vilaza
  6. M

    PreGE2025 Rais Samia atunukiwa Tuzo Maalum kutoka kwa bunge, Dodoma Mei 31, 2025

    Mkuu kilichofanyika nalinganisha na mtu kujitekenya mwenyewe alafu anacheka. Kweli Africa nyeusi haing'oi nanga.
  7. M

    Msikilize Mo Ibrahim anavyoshangaa Tanzania kuwa na utawala wa kidictator kuwatesa wapinzani, kitu ambacho anasema hakutegemea kutoka Tanzania

    Alisema hawakumsikia, sasa asiseme ya kwetu au unataka tutumbukie kwenye shimo la maafa? Waswaili wa ulaya wanasema 'fore warned is fore armed'
  8. M

    Kuna wabunge CCM huwa wana hekima sana haswa wale wenye shule na exposure

    Msemo wakiaswahili unasema 'samaki mmoja akioza, wote wameoza'
  9. M

    PreGE2025 Naibu Spika Zungu apendekeza NHC kuanzisha mpango wa Nyumba za bei nafuu na kuziita 'Samia Affordable Houses'

    Kwa uchawa huu, nakuabaliana kabisa na yule senata wa Kenya aliyesema mambo ya bunge la Tanzania hayana hadhi ya kujadiliwa na bunge la seneti, labda kwenye mabaraza ya serekali zao za mitaa (county).
  10. M

    Ruzuku ya CHADEMA ni Wanachama siyo pesa ya Msajili

    Based on KM Mnyika ushahidi wote msajili amepewa. Agenda ni kuiua chadema iwe mvua liwe jua.
  11. M

    Ruzuku ya CHADEMA ni Wanachama siyo pesa ya Msajili

    Nami kianzia next week ninaongeza tone tone yangu mara tatu.
  12. M

    PreGE2025 Tulia Ackson awaruka wabunge, asema baadhi ya kauli zilizotolewa kwenye Mjadala wa Wizara ya Mambo ya Ndani si msimamo wa Bunge

    Baada ya kudhalilishwa na seneta wa Kenya kuwa wabunge wetu hawajui hata mkataba wa jumuiya ya africa mashariki ndio nae spika anamka? Ifike mahala watawala watende haki badala ya kulifanya bunge kuwa genge la mipasho.
  13. M

    Muungano wa Tanganyika na Zanzibar: Una faida gani na kwa manufaa ya nani?

    Mamlaka yepi? Katiba ya Zenji inatamka wazi kuwa Zenji ni nchi kamilii. Rais wa bara akienda kwenye sharehe anatangulia uwanjani na akija rais wa Zenji, rais wa bara anasimama kwa unyenyekevu kuashiria mwenye dola kaingia.
Back
Top Bottom