Kuna wakati Scotland walifanya referendum ya kutaka kujitenga na England after 300+ yrs ya muungano. Iko shida gani ya kufanya referendum ya huu muungano wetu. Wengi wakisema tunataka kuendelea hivi nani atakuwa na ubavu wa kupinga?
Inawezekana hizi data zake siyo za kweli, lakini siwezi kuzi challenge kwa sababu sina mbadala. Wewe kwa sababu umemtaka awe mkweli - (yaani kasema uongo) - basi tuwekee data zako za ukweli hapa jamvini.
Ni kweli kwamba baba/mama lishe ili wafanye shughuli zao kwa mafanikio lazima kuwepo na amani. Lakini kama mteja hatatenda haki kwa kumlipa baba/mama lishe ujira wake, amani haitakuwa na maana inayohubiriwa. Amani haiwezi kuduma bila haki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.